Alistalikopaul
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 693
- 1,907
Mbna mmeshindwa kutuletea paypal??Wanahangaika sana mkuu wanadhani wote mafala, haya mambo aliyeleta ni Safaricom kampuni ya Waingereza ndugu na Vodacom lakini makazi yao yakiwa jijini Nairobi,ndulu yeye alipitisha tu baada ya kuona kule Kenya hii huduma imesambaa na inafanya kazi na wakati huo huo hapa Tanzania vodacom walikuwa tayari wamejiandaa kuanzisha hii huduma na na walikuwa ndio wanaomba kibali cha kuendesha emoney. Hizi sifa za makusudi hazina mshiko.
Ndulu ansifiwa hapa kwa kua mwepesi kukubali na kupokea mabadiliko yenye tija sio kuanzisha.