Kikwete asema Profesa Benno Ndulu ndiye aliyeleta utaratibu wa malipo ya fedha kwa njia ya simu

Ni kweli.lakini waanzilishi walikuwa wafilipino wao hadi leo simu kiganjani waweza mrushia mtu yeyote duniani au kupokea pesa kiganjani toka popote duniani sisi hatujawafikia wafilipino
Wazee wa kuhamisha ajenda kazini
 
Wazee wa kuhamisha ajenda kazini
sio uongi waanzilishi wa money transfer walikuwa wafilipino kupitia GCash dunia ika copy kwao.Msomi yeyote anatakiwa ku acknowle source .Wao ndio walikuwa pioneers wa mobile money transfer duniani
 
sio uongi waanzilishi wa money transfer walikuwa wafilipino kupitia GCash dunia ika copy kwao.Msomi yeyote anatakiwa ku acknowle source .Wao ndio walikuwa pioneers wa mobile money transfer duniani
Kwani Mataga huwa mnajifunza na kuongeza maarifa kutoka kwa wengine!!!
 
Tatizo sio kununua,yeye alisaidiaje hawa Watanzania kunufaika lasilimali za nchi yao?baada ya kutukana tu,Usomi unaoneka ktk kutatua matatizo ya hao waliokutuma kuwawakilisha na sio kuwatukana.Kwanza yeye kasomeshwa na kodi za Watanzania ili aje kuwasaidia,baada ya kuwasaidia anaanza kuwa dalali wa mabeberu.
Mkuu wasomi wazuri wa sayansi huwa wengi hawana social skills ndo hata magu alikuwa na kauli za ajabu haimaanishi alikuwa hawezi kazi.
Muhongo ndo aliyeleta na kuandika mradi wa rea unaenda hadi vijiji vilivyokosa umeme toka uhuru .na alikuwa na speed kali sana .muhongo alileta wawekezaji ambao ni kampuni zenye uzoefu wa kazi hiyo zinazoaminiwa kukopa mabenki mtwara hadi nyumba zilianza fulika wafanyakazi wazungu na uchumi wa gesi ulianza nukia viwanja havikushikika.
Ni ukweli utajiri wote wa moo akiuza hadi chupi hawezi shika hata kitalu kimoja .walichochukia matajiri watanzania walitaka wadalalie walete makampuni kwa cha juu muhongo alikaza waje wenye technolojia tuwape vitaru wawekeze bila vikwazo vya madalali
 
sio uongi waanzilishi wa money transfer walikuwa wafilipino kupitia GCash dunia ika copy kwao.Msomi yeyote anatakiwa ku acknowle source .Wao ndio walikuwa pioneers wa mobile money transfer duniani
Hili la kutumia simu kutuma na kupokea fedha halikuanzia Tanzania. Sisi tume copy tu na limekuja na matumizi ya smartphone. Kuna mambo mengi tu yameletwa na matumizi ya smartphone na sidhani kama tungeweza kujitenga kwa nmana yoyote. Sifa nyingine wala hazina maana.
 
Dar es Salaam. Rais wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema gavana wa zamani wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu ndiye aliyetoa fursa kwa mitandao ya simu kuanza kutoa huduma za kifedha hapa nchini.

Kikwete aliyasema hayo Aprili 22 nchini Marekani wakati wa majadiliano maalumu ya kumbukizi ya Profesa Ndulu yaliyoandaliwa na Chuo Kikuu cha New York (NYU) kupitia jukwaa lake la Africa House.

Profesa Ndulu alikuwa Gavana wa BoT kuanzia mwaka 2008 hadi 2018 alipostaafu. Mtaalamu huyo wa uchumi alifariki Februari 21 mwaka huu jijini Dar es Salaam katika Hospitali ya Kairuki.

Katika hotuba yake aliyoitoa katika majadiliano hayo, Kikwete alisema wakati akiwa Rais, Profesa Ndulu alimpelekea wazo lake la kuanzisha huduma jumuishi za kifedha, akamruhusu, sasa wazo hilo limeleta matokeo makubwa.

Alisema uamuzi wake huo ulisababisha ongezeko la huduma jumuishi za kifedha kwa wananchi kutoka asilimia 16 zilizokuwapo mwaka 2009 hadi asilimia 65 mwaka 2018 alipostaafu kama Gavana wa Benki Kuu.
Mkuu mambo ya pesa kwa njia ya mtandao/simu hakuyaleta Ndulu wala Kikwete bali yalianzia Kenya na kampuni ya Safaricom, sisi tumeiga tu na kuwa pia kampuni ya vodacoma na safaricom ni ndugu wa baba mmoja, mwishowe mtasema hata control number walileta wao, naona watu wanahangaika sana kutaka kuonekana wao ndio wamefanya makubwa
 
Hili la kutumia simu kutuma na kupokea fedha halikuanzia Tanzania. Sisi tume copy tu na limekuja na matumizi ya smartphone. Kuna mambo mengi tu yameletwa na matumizi ya smartphone na sidhani kama tungeweza kujitenga kwa nmana yoyote. Sifa nyingine wala hazina maana.
Wanahangaika sana mkuu wanadhani wote mafala, haya mambo aliyeleta ni Safaricom kampuni ya Waingereza ndugu na Vodacom lakini makazi yao yakiwa jijini Nairobi,ndulu yeye alipitisha tu baada ya kuona kule Kenya hii huduma imesambaa na inafanya kazi na wakati huo huo hapa Tanzania vodacom walikuwa tayari wamejiandaa kuanzisha hii huduma na na walikuwa ndio wanaomba kibali cha kuendesha emoney. Hizi sifa za makusudi hazina mshiko.
 
Mwaka 2009 nikiwa darasa la nne bibi yangu M-Pesa alikuwa anaiita Mapesa. Hata transactions za mitandao mingine zilizofuatia aliziita hivohivo mpaka badae akajua kuzitofautisha. Mwanzoni alikuwa anagoma wasitume hela uko akidai itaibiwa na wafanyakazi wa mitandao ya simu.
Sawa mjukuu
 
Dar es Salaam. Rais wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema gavana wa zamani wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu ndiye aliyetoa fursa kwa mitandao ya simu kuanza kutoa huduma za kifedha hapa nchini.

Kikwete aliyasema hayo Aprili 22 nchini Marekani wakati wa majadiliano maalumu ya kumbukizi ya Profesa Ndulu yaliyoandaliwa na Chuo Kikuu cha New York (NYU) kupitia jukwaa lake la Africa House.

Profesa Ndulu alikuwa Gavana wa BoT kuanzia mwaka 2008 hadi 2018 alipostaafu. Mtaalamu huyo wa uchumi alifariki Februari 21 mwaka huu jijini Dar es Salaam katika Hospitali ya Kairuki.

Katika hotuba yake aliyoitoa katika majadiliano hayo, Kikwete alisema wakati akiwa Rais, Profesa Ndulu alimpelekea wazo lake la kuanzisha huduma jumuishi za kifedha, akamruhusu, sasa wazo hilo limeleta matokeo makubwa.

Alisema uamuzi wake huo ulisababisha ongezeko la huduma jumuishi za kifedha kwa wananchi kutoka asilimia 16 zilizokuwapo mwaka 2009 hadi asilimia 65 mwaka 2018 alipostaafu kama Gavana wa Benki Kuu.
JK alikuwa anawapa uhuru wa wataalam wengi kuonyesha vipawa vyao siyo yule dikteta
 
Umuhimu wa wasomi Prof..Lakini Ukija Bungeni Speaker Ndugai anawaacha akima Musukuma , Kibajaji na Jaa pipo Ndio waongoze Bunge kwa Mipasho huku wakiwananga Wasomi wetu.. Pathetic this is only in Tanzania Parliamentary sessions.
Sio kila msomi ni msomi. Wengine wamekariri mambo tu, ili kutishia watu. Prof Ndullu was a Professor. na aliyofanya ndio haya yanambeba wakati yeye ametangulia mbele ya haki.
Hawa wengine wanataka kuuza gas turbine zao kwa ujanja nao tuwaweka kwenye kundi la wasomi? Msomi gania anaye enjoy watu wawe maskini? Huyo jamaa alimwambia Mengi akafuge kuku sio kutafuta natural gas...
 
pesa mtandao ni bonge la huduma nasikia mwanzilishi ni mkenya, kwa kweli anastahili tuzo kubwa sana.
Sio kweli kwamba hi kitu imetokea Kenya, sio kweli; katafute vizuri from the history; hi kitu imeanzia nchi za mashariki ya mbali kama Malysia, Indonesia na hata SA, huenda Tanzania ndio ilikua ya kwanza kabla ya Kenya; Wakenya wengi walikua wanatumia neno M-pesa badala ya hiyo ya kwao sasa ambayo Safaricom wanakwenda nayo.
 
kwanini JK hakunena maneno haya enzi za Mwendazake??

Kikwete asingeweza kunena maneno haya enzi za Mwendazake kwasababuMwendazaka alikuwa anajua ufisadi alioufanya kwa kushirikiana na Ndulu akiwa Gavana na LikwelIle akiwa Katiba Mkuu hazina.[ ndio maana hakutaka aendelee kuwa Gavana baada ya muda wake; alimuondoa Likwelile hazina]. Among many other things , kama mnakumbuka kulikuwa na forex denominated bond which was floated Mustapha Mkullo akiwa Waziri wa fedha wa Kikwete; fedha zilizopatikana kwenye ile bond mpaka leo haijulikani zilituka kwa mradi gani!! Zitto alijaribu kuuliza bungeni juu ya ile bond akapigwa stop kwa kupewa safari na Rais kwenda kubembea!!

Vasco Dagama amewaumiza watu wengi sana kwa ufisadi wake enzi za utawala wake. Ukichunguza kwa ndani watu kama Rugemalila na Kitilya wameozea gerezani kwa sababu ya dili za Vasco Dagama!! David Mattaka aliingia matatani akiwa ATCL kwasababu ya kutekeleza maagizo ya Vasco Dagama!! Halafu leo anataka kuturudisha kule kule kwa mgongo wa Samia!!!
 
Back
Top Bottom