<br />
<br />
AFADHALI WAMELIONA HILO,..MAANA HAWA WATU WA NTWALA WANAKUWAGA KAMA WALI CHEMSHIWA BENDERA YA JEMBE NA NYUNDO WAKANYWA MAJI YAKE. KHAAAAA!NA WANAVYOICHAKAKA CHULIWAGA KOROSHO ZAO WALA HAWAJIELEWAGI!!! NTU ANA HEKA KADHAA ZA SHAMBA LA KOROSHO LAKINI UTAKUTA NI MASKINI WA KUTUPWA
"Katani A Katani. Alipigwa na polisi hadi kuvunjwa mkono akilazimishwa kusaini matokeo ambayo ni wazi yalibadilishwa.
Weee, kumbe!