SEAL Team 6
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 655
- 118
Du!! Hii kali. Kuna haja ya kuiongeza ripoti hii kwenye ripoti ya Godbless Lema juu ya ukatili unaofanywa na jeshi la Polisi. Ajipe moyo Mungu atamsaidia.Katani A Katani. Alipigwa na polisi hadi kuvunjwa mkono akilazimishwa kusaini matokeo ambayo ni wazi yalibadilishwa.