Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkwara wa juzi umesaidia hadi wameanza kumlamba miguu.....ole wenu madokta tuje tusikie mnadai maslai labda 2016.!
Tukijaribu kuwa fare pamoja na madai ya msingi ya drs, JK personally amechangia kuleta machine za kisasa sana pale dental muh2 ambayo ambayo iko chini ya MUHAS sio MNH. Ufunguzi ulifanyika February 2010. Kwa kweli ni vifaa vya kisasa sana.
Yeye mwenyewe ndie alienda kuvitafuta akishirikiana na mtoto wake Salama ambaye naye ni dental surgeon sasa hv anasoma UK .
Amekuwa akiwap tafu sana drs wa meno Kwa mambo mengi naona km wana haki ya kumtambua mchango wake!!
Amepewa tuzo kwa sababu ya kuchekacheka hovyo sasa kwa kuwa hawa ni madaktari wa meno wamevutiwa na meno yake!!sasa amepewa tuzo kwa lipi?
rais kikwete leo ametunukiwa tuzo na chama cha madaktari wa meno Tanzania uliombatana na kupewa uanachama wa chama hicho
source: TBC
Tukijaribu kuwa fare pamoja na madai ya msingi ya drs, JK personally amechangia kuleta machine za kisasa sana pale dental muh2 ambayo ambayo iko chini ya MUHAS sio MNH. Ufunguzi ulifanyika February 2010. Kwa kweli ni vifaa vya kisasa sana.
Yeye mwenyewe ndie alienda kuvitafuta akishirikiana na mtoto wake Salama ambaye naye ni dental surgeon sasa hv anasoma UK .
Amekuwa akiwap tafu sana drs wa meno Kwa mambo mengi naona km wana haki ya kumtambua mchango wake!!
kama tuzo zinatolewa hovyo hivi naona zinakosa maana sasa!
mwanae salima dr wa meno,yaweza kuwa sababu?sasa amepewa tuzo kwa lipi?