Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo umenena Angel.inasadikika tuzo hiyo ilitakiwa itolewe na madaktari wa akili.
sasa amepewa tuzo kwa lipi?
Angel, hebu njoo hapa Malindi club nikutwange kinywaji!!inasadikika tuzo hiyo ilitakiwa itolewe na madaktari wa akili.
rais kikwete leo ametunukiwa tuzo na chama cha madaktari wa meno Tanzania uliombatana na kupewa uanachama wa chama hicho
source: TBC
Hapo kwenye red: naomba msaada, Kikwete ni daktari wa meno? Kama jibu ni hapana, nani mwingine kwenye hiki chama cha madaktari wa meno hana ujuzi na utabibu wa meno?
kama tuzo zinatolewa hovyo hivi naona zinakosa maana sasa!