Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 863
Mmh!
Rev. Kishoka,
Mkuunakuelewasana isipokuwa statement yako hii ya mwisho - Hapo uko peke yako mkuu wangu huo sii Uislaam ila ni Udini ambao ungeturudisha nyuma zaidi ktk Umaskini..kumbuka tu sasa hivi tunagawana Umaskini, Ukimpendelea mmoja ina maana unamdhalilisha mwingine..
Mnaodhania hivyo, Mchungaji anawapasha kuwa Kikwete hata hao nduguze katika imani kaka na dada zetu wa Kiislamu, kawasahau maana yeye anatumikia matumbo na kutimiliza matakwa ya Mafisadi, Wawekezaji na Mabeberu anaowaita Wakubwa!
Maoni yako ni kweli, ila tatizo linaletwa na kikundi kidogo sana cha waislamu wanaoangalia dini ya mtu bila kujali anafanya nini. Kwa wao wanachotaka ni kiongozi mwislamu, atawasaidia au atawasahau hilo siyo swala kwao, kinachomata ni ile dini yake tu. Sidhani kama wakristu wana sensitivity kali kuhusu dini ya kiongozi wa kisiasa kwani najua kuwa baadhi yao waliwahi kusema kuwa Kikwete ni chaguo la Mungu wao. Katika kundi lile la waislamu wasioamnini dinadamu mwingine yeyote asipokuwa mwislamu, isingewezekana kutamka hivyo kwa mgombea mkristo.
Sasa kaanza kutumia Udini....lakini si kwa manufaa ya dini!