britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Mwaka 1995 wakati Nyerere (mzee nchonga) ameweka ngumu kuhusu vijana wawili nachelea kusema masharobaro wa kipindi kile , Kijana mmoja aliyechukia alionekana kuchukizwa na maamuzi ya Nyerere alikasikirika sana akaamua kufanya mpango wa kuhama Chama, kwenda UDP, ambayo haikuwa na nguvu kwa kipindi kile lakini alikuwa maarufu maana alishatengeneza chanel japo ingekuwa ngumu kwake maana umaarufu wake haukufika kwa Mrema wa kipindi kile,
Mtu wake wa karibu alinihabarisha kwamba asingekuwa mwalimu Nyerere , basi kikwete angekuwa rais kupitia CCM mwaka 1995 na kumpangia majukumu Mkapa kama waziri fulani hivi,
Pia asingekuwa Nyerere Kikwete angehama chama na kwenda UDP maana mpango alishauweka, lakin Nyerere akamtuma Kasori amuite na wakaongea akamwambia awe na subira,
Hii inatuonesha uvumilivu umempa Kikwete Urais,
Kamanda lowassa ni Muoga mnoo alinuna tu kivyake vyake na aliogopa kwamba angehama labda asingefanikiwa na akaamua kubaki akilalamika moyoni tu, maana alimuogopa mzee Nyerere,
lakin Mwaka 2015 alifanya Jazba angebaki huwezi jua 2025 angekuwa Rais, lakin ukishahama CCM ndo urais basi tena
pili najiuliza swali Pale Magufuli alipoteua atakayekuwa makamu , ingekuwa vipi angemteua Lowassa badala ya suluhu?
Je Lowassa angehama? Upinzani wangeambulia kura ngapi? Maana za 4u movement ni 4,500,000.
weka za Magufuli 8,700,000
ina maana Ukawa wangebaki na 1,000,000 za Dokta Slaa?
Mtu wake wa karibu alinihabarisha kwamba asingekuwa mwalimu Nyerere , basi kikwete angekuwa rais kupitia CCM mwaka 1995 na kumpangia majukumu Mkapa kama waziri fulani hivi,
Pia asingekuwa Nyerere Kikwete angehama chama na kwenda UDP maana mpango alishauweka, lakin Nyerere akamtuma Kasori amuite na wakaongea akamwambia awe na subira,
Hii inatuonesha uvumilivu umempa Kikwete Urais,
Kamanda lowassa ni Muoga mnoo alinuna tu kivyake vyake na aliogopa kwamba angehama labda asingefanikiwa na akaamua kubaki akilalamika moyoni tu, maana alimuogopa mzee Nyerere,
lakin Mwaka 2015 alifanya Jazba angebaki huwezi jua 2025 angekuwa Rais, lakin ukishahama CCM ndo urais basi tena
pili najiuliza swali Pale Magufuli alipoteua atakayekuwa makamu , ingekuwa vipi angemteua Lowassa badala ya suluhu?
Je Lowassa angehama? Upinzani wangeambulia kura ngapi? Maana za 4u movement ni 4,500,000.
weka za Magufuli 8,700,000
ina maana Ukawa wangebaki na 1,000,000 za Dokta Slaa?