Kaimu-Assistant-Deputy-Vice-President
***** tu huyo
Just curious!!! Hivi nani ni mgombea urais kati ya hawa? Mbona wote wana majukumu sawa ya kuinua mikono ya wagombea ubunge na kuwatambulisha kwa wapiga kura?
Sijaona Makamu mwenyekiti wa chama (Msekwa) akitambulisha wagombea, au makamba akifanya hivyo. Ina maana Mama salma na Ridhiwani wana vyeo vikubwa kushinda makamu mwenyekiti wa chama na Katibu mkuu?