Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete,
Inawezekana ni wewe au ni wasaidizi wako ila bado natafuta kujua hili maana linatia aibu. Kwa nini unawakwepa watanzania wanaoishi marekani?
Kwa nini unapenda private settings? Kwa nini unafanya mambo kwa ufichouficho mwingi? Kwa nini hautoi maelezo ya maamuzi yako?
Well, kuna mtu alisema hapa JF kuwa inaonekana ni wivu unasumbua baadhi ya memba hapa ambao wangetaka kuongea nawe. Wengi hapa sio wivu bali ni haja ya kupata nafasi ya kukusikia ukisema kitu kuhusu hali ya baadaye ya nchi yetu. Sio kila mtu anataka kukutolea kashfa (haziuwi) au maneno ya kejeli. Unaweza ukanikwepa mimi ila sio kila mtu mwingine aliyeko hapa USA
Stand up baba and face the muziki. Kama ulidhani uraisi ni kuwa mbali na watu umejidanganya. You never know, labda washauri ulio nao wengi ni vilaza. Wape vijana wako wanaotuma pesa nyingi nyumbani kuliko pesa inayolipwa na makampuni ya madini nafasi ya kuongea na prezidaa wa nchi yao (kumbuka hii ni ofisi) sio kitu chako binafsi.
Mheshimiwa rais, Tafadhali baba!
Inawezekana ni wewe au ni wasaidizi wako ila bado natafuta kujua hili maana linatia aibu. Kwa nini unawakwepa watanzania wanaoishi marekani?
Kwa nini unapenda private settings? Kwa nini unafanya mambo kwa ufichouficho mwingi? Kwa nini hautoi maelezo ya maamuzi yako?
Well, kuna mtu alisema hapa JF kuwa inaonekana ni wivu unasumbua baadhi ya memba hapa ambao wangetaka kuongea nawe. Wengi hapa sio wivu bali ni haja ya kupata nafasi ya kukusikia ukisema kitu kuhusu hali ya baadaye ya nchi yetu. Sio kila mtu anataka kukutolea kashfa (haziuwi) au maneno ya kejeli. Unaweza ukanikwepa mimi ila sio kila mtu mwingine aliyeko hapa USA
Stand up baba and face the muziki. Kama ulidhani uraisi ni kuwa mbali na watu umejidanganya. You never know, labda washauri ulio nao wengi ni vilaza. Wape vijana wako wanaotuma pesa nyingi nyumbani kuliko pesa inayolipwa na makampuni ya madini nafasi ya kuongea na prezidaa wa nchi yao (kumbuka hii ni ofisi) sio kitu chako binafsi.
Mheshimiwa rais, Tafadhali baba!