Hivi ni kiongozi wa familia gani? Sasa hivi yupo ziarani Ivory Coast na kuonana na madikteta wenzake? Ametatua mgogoro Ivory Coast? au Bado anatembelea historic sites Abidjan? Akirudi tumwone akielekea Addis Abba, Ethiopia na UN next huku waliokufa Gongo la Mboto wanajizika na wengi bado maamivu kila mahali. Mali, nyumba, shida ya umeme na maisha ya wananchi yana tekereka. Where do make these kinds of leaders? Maybe Tanzania million 43 tumwonyeshe mlango ili next time atumie ndege yake na kuuza raslimali zake mwenyewe.
Kikwete Akimkumbatia Raisi wa Kujipandikiza Ivory Coast, Gbagbo
Kikwete na Mbeki wakitemebelea Ivory Coast wakati wakijua hawana solution
Maisha ya Ivory Coast Kikwete akitembelea
Walibya wanakufa Kikwete na AU wanakaa Ivory Coast kujadili uongo
Kikwete Akimkumbatia Raisi wa Kujipandikiza Ivory Coast, Gbagbo
Kikwete na Mbeki wakitemebelea Ivory Coast wakati wakijua hawana solution
Maisha ya Ivory Coast Kikwete akitembelea
Walibya wanakufa Kikwete na AU wanakaa Ivory Coast kujadili uongo
Is What Tanzanians Want? or Expect