Kikwete anatakiwa kufanya hivi to save 'his neck'

Kikwebo

JF-Expert Member
Aug 25, 2006
405
204
Nakumbuka kabla Brown hajawa Prime Minister na Kiongozi wa Labour Party..Labour were almost going to a defeat. Waingereza walishapoteza muelekeo na Opinion polls almost zote zilikuwa zinaonyesha kuna zaidi ya 10% gap kati yao na Conservative. Blair akashauriwa ang'atuke ilikurekebisha mambo..mwanzo alikuwa mgumu kiasi. Lakini baada ya kufuata na wazee wa Chama ilibidi afuate matakwa.
Mwishoni mwa wiki nimesikiliza Skynews nimeona kama Labour imerecover na imeweza kuwa zaidi ya 10% kwenye opinion poll dhidi ya Conservative.

Kama Tz kungekuwa na hizi free Opinion polls tungegundua kama CCM is in all time low dhidi ya wapinzani. Sababu kubwa ikiwemo hizi habari za Mikataba na hizi tuhuma za ufisadi.
Kama ningekuwa Kikwete au mshauri wake ningefanya yafuatayo..
- Fanya reshufle ya Mawaziri kwa kuwaondoa kabisa wanotajwa vibaya..of course akiwemo Mr Kara
- BOT , gavana angeondolewa..hata hapa ingetumika hoja kama amekaa madarakani muda mrefu ofkozi na uchunguzi waseem kama unaendelea.

Ila hizi tabia za kulazimisha kujibu jibu sidhani kama zitasaidia Chama kinazidi kumomonyoka na wananchi wanazidi kukosa imani na viongozi wao akiwemo Mheshimiwa Raisi ambaye walimpa matumaini makububwa mno..ushindi wa salimia 80 unadhihirisha imani waliyokuwa nayo wananchi.
kingwele wa Kingwele.
 
..acha kuwashtua waendelee kujitia kitanzi na wakija kushtuka hawana bunge wala ikulu
 
Matatizo yanayoikumba Serikali yameanza na CCM mtandao na CCM asili, kwanza wakianza na hilo hatua ya pili ni kumuondoa Lowassa hapo kila kitu kitakuwa safi, ukiwa na PM mzuri wengine wanaweza kuwa monitored.
 
Matatizo yanayoikumba Serikali yameanza na CCM mtandao na CCM asili, kwanza wakianza na hilo hatua ya pili ni kumuondoa Lowassa hapo kila kitu kitakuwa safi, ukiwa na PM mzuri wengine wanaweza kuwa monitored.

Bongo lada you are very right,

Kuboronga sana kwa awamu hii kunachangiwa na PM Bomu, kwa haraka haraka angalia yafuatayo:

-Udikteta wake wa kukaripia viongozi hasa akiwa ziarani mikoani
-Kauli zake za kukurupuka, mara ndege ina paa, mara visungura n.k
-Kulipiza visasi, mfano sakata la wabunge wa Arusha walo kamatwa na TAKUKURU
-Tamaa ya kujilimbikiza mali na wizi.. mfano RICHMOND
-Udikiteta wake na kutafuta umaarufu kwa nguvu kuwalzimisha wafanya biashra wachangie vitu mbali mbali kwa kutumia cheo chake

-Kibaya zaidi,Ameriburuza bunge na kuliharibu kwa mwamvuri wa nidhamu ya chama, kitu ambacho ndo kimekoleza chuki kubwa kwa wananchi.

Nadhani Njia pekee ya kujinasua Jk ni pamoja na kumtema EL period.
 
Nakumbuka kabla Brown hajawa Prime Minister na Kiongozi wa Labour Party..Labour were almost going to a defeat. Waingereza walishapoteza muelekeo na Opinion polls almost zote zilikuwa zinaonyesha kuna zaidi ya 10% gap kati yao na Conservative. Blair akashauriwa ang'atuke ilikurekebisha mambo..mwanzo alikuwa mgumu kiasi. Lakini baada ya kufuata na wazee wa Chama ilibidi afuate matakwa.
Mwishoni mwa wiki nimesikiliza Skynews nimeona kama Labour imerecover na imeweza kuwa zaidi ya 10% kwenye opinion poll dhidi ya Conservative.

Kama Tz kungekuwa na hizi free Opinion polls tungegundua kama CCM is in all time low dhidi ya wapinzani. Sababu kubwa ikiwemo hizi habari za Mikataba na hizi tuhuma za ufisadi.
Kama ningekuwa Kikwete au mshauri wake ningefanya yafuatayo..


Vipi opinion poll ya week hii Labour na Conservative wako neck to neck? 38% each. Je unamtazamo namna gani?
 
Ndugu waungwana,
naomba kufahamishwa kama kweli kujenga makao makuu ya Tanroads katikati ya mji kama Dar es Salaam ni sahihi?
Kwa habari za uhakika ni kwamba Tanroads wamenunua viwanja 3 katikati ya mji( Kiwanja cha Tigo, Vodacom, Na kinachofuata) kwenye barabara ya Ohio vinatazamana na Jengo la Posta. wamepewa fund kutoka World Bank kujenga makao makuu, wamekataa kujenga kule mabibo walipo kwa sasa.

nashidwa kuelewa kwa nini Tanroads wajenge katikati ya mji? kwa nini wasiende Dodoma? ni lini tutanza kupeleka makao makuu Dodoma? au ni Proganda?
 
naomba kufahamishwa kama kweli kujenga makao makuu ya Tanroads katikati ya mji kama Dar es Salaam ni sahihi?


Ubinafsi ndugu yangu hakuna zaidi ya hapo,,, ingekuwa mimi nisingependa kujenga mjini kwenye congestion ya kupita kiasi,,, anyway TANROAD Makao makuu yaweza kuwa popote....

Tatizo langu ni taasisi zifuatazo kuwa pale mjini...

1. Shule ya Msingi Bunge
2. Chuo Kikuu Cha Fedha na Uongozi - IFM
3. Shule ya Sekondari Shaaban Robert
4. Taasisi ya Technologia ya Dar es Salaam - DIT
5. Soko ya Samaki Magogoni Mkabala na Ikulu
6. Soko ya Nyanya Kariakoo
7. Wizara ya Elimu
8. Wizara ya Ardhi
9. Makao Makuu ya Jeshi la polisi
10. Chuo Kikuu Cha Muhimbili na Hospital yake
11. Chuo cha Biashara - CBE
11..
-------------------------------------
Kwa maoni yangu,,, ukiondoa hizo taasisi kule mjini utakuwa umepunguza misururu ya foleni kwa asilimia 20-40%, hivyo huhitaji kupanua barabara leo,,, na hayo mabasi yenu yayaoenda kasi... maana yatakuja kweli kasi lakini yakifika city centre hayatembei - kisa ubinafsi wa kudhani kaofisi kamoja kanaweza fikiria wenyewe bila kuhusisha wadau wengine...

Naomba kutoa hoja
 
Matatizo yanayoikumba Serikali yameanza na CCM mtandao na CCM asili, kwanza wakianza na hilo hatua ya pili ni kumuondoa Lowassa hapo kila kitu kitakuwa safi, ukiwa na PM mzuri wengine wanaweza kuwa monitored.
Lowasa aondolewe kumbe
 
Bongo lada you are very right,

Kuboronga sana kwa awamu hii kunachangiwa na PM Bomu, kwa haraka haraka angalia yafuatayo:

-Udikteta wake wa kukaripia viongozi hasa akiwa ziarani mikoani
-Kauli zake za kukurupuka, mara ndege ina paa, mara visungura n.k
-Kulipiza visasi, mfano sakata la wabunge wa Arusha walo kamatwa na TAKUKURU
-Tamaa ya kujilimbikiza mali na wizi.. mfano RICHMOND
-Udikiteta wake na kutafuta umaarufu kwa nguvu kuwalzimisha wafanya biashra wachangie vitu mbali mbali kwa kutumia cheo chake

-Kibaya zaidi,Ameriburuza bunge na kuliharibu kwa mwamvuri wa nidhamu ya chama, kitu ambacho ndo kimekoleza chuki kubwa kwa wananchi.

Nadhani Njia pekee ya kujinasua Jk ni pamoja na kumtema EL period.
Kumbe Lowasa ni dikteta???
 
Ubinafsi ndugu yangu hakuna zaidi ya hapo,,, ingekuwa mimi nisingependa kujenga mjini kwenye congestion ya kupita kiasi,,, anyway TANROAD Makao makuu yaweza kuwa popote....

Tatizo langu ni taasisi zifuatazo kuwa pale mjini...

1. Shule ya Msingi Bunge
2. Chuo Kikuu Cha Fedha na Uongozi - IFM
3. Shule ya Sekondari Shaaban Robert
4. Taasisi ya Technologia ya Dar es Salaam - DIT
5. Soko ya Samaki Magogoni Mkabala na Ikulu
6. Soko ya Nyanya Kariakoo
7. Wizara ya Elimu
8. Wizara ya Ardhi
9. Makao Makuu ya Jeshi la polisi
10. Chuo Kikuu Cha Muhimbili na Hospital yake
11. Chuo cha Biashara - CBE
11..
-------------------------------------
Kwa maoni yangu,,, ukiondoa hizo taasisi kule mjini utakuwa umepunguza misururu ya foleni kwa asilimia 20-40%, hivyo huhitaji kupanua barabara leo,,, na hayo mabasi yenu yayaoenda kasi... maana yatakuja kweli kasi lakini yakifika city centre hayatembei - kisa ubinafsi wa kudhani kaofisi kamoja kanaweza fikiria wenyewe bila kuhusisha wadau wengine...

Naomba kutoa hoja
Mh
 
Back
Top Bottom