Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Jamani napendekeza JK aandikwe kwenye kile kitabu cha watu walofanya/au kutenda mambo maalum kwa kuwa Kiongozi wa Kwanza Duniani kutojua chanzo cha umaskini wa nchi anayoingoza ilhali yeye ni mchumi, mwanasiasa na mwanajeshi. kisha akawatangazia raia wake atawapa maisha Bora!!
TUMPIGIENI KAMPENI AANGALAU APATE HIYO HESHIMA JAMANI!!
TUMPIGIENI KAMPENI AANGALAU APATE HIYO HESHIMA JAMANI!!