Mbona unakuwa kama haupo nchi hii? Fedha za EPA alizochota RA si ndio zilizomwingiza JK ikulu 2005 wandugu? Acheni hizo!Yaani hata sijaelewa hapa hata sijui uhusiano kati ya gamba la RA na madaraka ya JK...... tafadhali naomba unijuze zaidi
CCM is endowed with a huge number of renowned and experienced politicians. Rostam was merely a drop in a bucket, and Kikwete will never mourn his abdication. CCM is a well-established institution as opposed to CHADEMA which looks like an NGO.
Kwani kikwete alipenda ROSTAM AZIZ angatuke ni shinikizo la CHADEMA....Kwa mujibu wa taarifa za Magazeti, Mwenyekiti wa CCM amesikitishwa na Kitendo cha Rostam Aziz kujiuzulu! Hivi si yeye aliyesimamia vikao vya kuwataka wanaotuhumiwa wajivue gamba? Kama kweli anasikitika anataka wananchi tumueleweje?
i did not expect pamoja na maelezo mengi ya epa, richmond, deep green, meremeta et al. Kuna watu wenye mawazo kama yako. Hadi leo hujagundua tu kuwa huo ufadhili wake kwa chama ni kutokana na wizi wa waziwazi kwa watanzania!! Pesa zimechotwa bot zikaenda ccm halafu unaona ni support yake?? We have a very long way to freedom!!
naomba kufahamu kuna uhusiano gani kati ya kustaafu kwa ndugu Rostam Azizi na Mheshimiwa Rais kuachia madaraka? mimi naona Mheshimiwa Rais aendelee kuwepo madaraka hadi kipindi chake kitakapokwisha
Kwa sababu?...naomba kufahamu kuna uhusiano gani kati ya kustaafu kwa ndugu Rostam Azizi na Mheshimiwa Rais kuachia madaraka? mimi naona Mheshimiwa Rais aendelee kuwepo madaraka hadi kipindi chake kitakapokwisha