nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Nani atagharamia Helikopta za Uchaguzi wa CCM tena? Nani atalipia Uchaguzi Mkuu wa CCM? Nape na Maneno? Hapana Wananchi wa CCM walipendeza na Mashati, Khanga, Vilemba, Hongo kwa Uchaguzi; Haiwezi kuwa kama wakati wa Nyerere, unajua ilikuwa ni Chama kimoja
Nape Mmejiumiza kumfukuza Fisadi Mkuu Rostam...
Nape Mmejiumiza kumfukuza Fisadi Mkuu Rostam...