Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Bora wamkatalie asijiuzulu; wambembeleze saaaaaana halafu aje na kusema ameombwa na ameamua kuendelea na Ubunge. CCM Juu?
Unajua Kikwete ni kama mzazi, ambaye peke yake ndiye mwenye uchungu wa mwana. Duniani hakuna mzazi anayechekelea kifo cha mtoto wake, isitoshe Rostam amekuwa msaada mkubwa sana kwa chama. Bila shaka kujiuzulu kwake kutaleta pigo kubwa sana kwa ustawi wa chama na maendeleo ya taifa kwa ujumla.
Sawa! lkn watu ni walewale, kwani effects za Rost HAMU hazitokei serikalini?Acha danganya watu wewe......lowasa hakukishauri chama ameishauri serikali.......sasa maamuz magumu gani ya serikali dhid ya rost-HAMU
Lazima asikitike! Mlitakata afurahi?
yeye anasikitika kuachia ubunge maana wao walimaanisha kuachia vyeo vya ccm tu
Kuna shida gani ya kucopy na kupaste hapa hilo gazeti ili tusome wenyewe? huu sio utaratibu wa kupeana habari zilizoandikwa kwnye magazeti hapa JF.Kwa mujibu wa taarifa za Magazeti, Mwenyekiti wa CCM amesikitishwa na Kitendo cha Rostam Aziz kujiuzulu! Hivi si yeye aliyesimamia vikao vya kuwataka wanaotuhumiwa wajivue gamba? Kama kweli anasikitika anataka wananchi tumueleweje?
Unasubiri nani akununulie gazeti then a paste ili usome katafute mwenyewe.Kuna shida gani ya kucopy na kupaste hapa hilo gazeti ili tusome wenyewe? huu sio utaratibu wa kupeana habari zilizoandikwa kwnye magazeti hapa JF.
Otherwise hii thread mimi naiita holy crap!
Unasubiri nani akununulie gazeti then a paste ili usome katafute mwenyewe.
Mnafiki huyo kwani wewe hufahamu pindi lowassa anajiudhulu alitoa kauli kama hizo wakati kwenye vikao vya chama vya kumshinikidha lowassa ajiudhulu alihudhulia.
Sangara! Yaweza ikawa ni kweli sometimes huwezi jua!hizo taarifa kwamba amesikitika umezitoa wapi isijekuwa umetutungia hadithi hapa
Kwa mujibu wa taarifa za Magazeti, Mwenyekiti wa CCM amesikitishwa na Kitendo cha Rostam Aziz kujiuzulu! Hivi si yeye aliyesimamia vikao vya kuwataka wanaotuhumiwa wajivue gamba? Kama kweli anasikitika anataka wananchi tumueleweje?
Mnafiki.Kwa mujibu wa taarifa za Magazeti, Mwenyekiti wa CCM amesikitishwa na Kitendo cha Rostam Aziz kujiuzulu! Hivi si yeye aliyesimamia vikao vya kuwataka wanaotuhumiwa wajivue gamba? Kama kweli anasikitika anataka wananchi tumueleweje?
Peleka usharobaro kule kwenye jukwaa la lugha na kama unajiona wewe ni mahiri wa lunga nenda kaombe kazi TUKI, hapa kinachotakiwa ni content ya story.Hivi ni mimi ndiye sifahamu kiswahili au ndugu yangu Luiz umepitiwa? Naomba unielimisha ulikuwa una maana gani kwenye hayo maneno niliyokoleza rangi nyeusi