point.. Wa kufurahi hapa ni nape tuLazima asikitike! Mlitakata afurahi?
What? Which Kikwete? Ridhiwan, ooh the chairmam Ok...they wonders shall never end.Kwa mujibu wa taarifa za Magazeti, Mwenyekiti wa CCM amesikitishwa na Kitendo cha Rostam Aziz kujiuzulu! Hivi si yeye aliyesimamia vikao vya kuwataka wanaotuhumiwa wajivue gamba? Kama kweli anasikitika anataka wananchi tumueleweje?
Kwa mujibu wa taarifa za Magazeti, Mwenyekiti wa CCM amesikitishwa na Kitendo cha Rostam Aziz kujiuzulu! Hivi si yeye aliyesimamia vikao vya kuwataka wanaotuhumiwa wajivue gamba? Kama kweli anasikitika anataka wananchi tumueleweje?
Lazima asikitike! Mlitakata afurahi?
Kwa mara ya kwanza naungana nanyi kweli lazima Kikwete asikitike kwa vile anajua RA alivo play part kumuweka magogoni.Unajua Kikwete ni kama mzazi, ambaye peke yake ndiye mwenye uchungu wa mwana. Duniani hakuna mzazi anayechekelea kifo cha mtoto wake, isitoshe Rostam amekuwa msaada mkubwa sana kwa chama. Bila shaka kujiuzulu kwake kutaleta pigo kubwa sana kwa ustawi wa chama na maendeleo ya taifa kwa ujumla.
point.. Wa kufurahi hapa ni nape tu
Unajua hii ya Rostam ni mojawapo consequence ya kauli ya Lowassa aliyotoa bungeni kuhusu maamuzi magumu! Naamini kuna wengine wataibika na kujiuzulu!