Kikwete anapumzika Serengeti kwa kazi gani aliyowafanyia watz?

...mnashangaa nini jamani,"huyo mtu tangu achaguliwe na tume mbona amekuwa mpumzikoni!?",ni lini amefanya kazi?,labda kama anafanya kazi kwenye hayo madege anayokuwa akisafiri kutwa kucha...
 
Mwizi tu huyu hana lolote Kazi kuiba Kodi zetu. Msishangae kusikia hata Shati atakuwa amehongwa na mwenye Hotel, mwarabu wa suti
Kipindi kile huenda hakuwa na chenji sana,
Kwa sasa amethubutu,
Anaweza kununua shati
.....
 
......
14. Amethubutu
15. Ameweza
16. Anasonga mbele.

Amethubutu : kuwaibiwa Watanzania na kusaini mikataba mibovu
Ameweza : Kuwadanganya watanzania Maisha Bora
Anasonga : mbele Kuhakikisha watanzania wanakuwa Maskini kuliko alivyowakuta, Ri1 anakuwa Tajiri no.1 Tanganyika

Kazi kwenu Watanzania, kunyoa au kusuka
 
President-Kikwete-of-Tanzania.jpg

Jamaa ana-injoi eeeh?
Pole na kazi nzito mwaka mzima wastahili mapumziko!

urais raha kweli unasubiri tamko kutoka maeneo fulani wewe ndio unatia maguu..
mfano: kasubiri mamlaka ya hali ya hewa kusema leo hakutakuwa na mvua ndio mjomba kaja tena anatumia helikopta kuangalia na kesho atarudi kumalizia kumuangalia kifaru wake..
 
Jamaa si alitajwa kwamba yumo na gazeti moja la huko UK? Sasa inaonekana ameenda kupata financial report za kati ya msimu, inawezekana system yao ni semi-annual! Dah! Namkumbuka nyerere alivyosema, "kwa mtu aliye safi hakiimbilii ikulu"
 

Amepumzika au amepumzishwa na Mwarabu aliyemuhonga Suti, Mimi siami kuwa ameenda kupumzika huko. Ameenda kusaini mkataba mwengine wa kipumbavu. Ipo siku mtasikia kuwa yule Mwarabu wa Suti amemuhonga tena Kikwete Chumba huko Serengeti

Bilila Kempinski nayo inamilikiwa na yule mwarabu pamoja na ile Zamani kempinski ya kule Zanzibar. Unganisha nukta.....!
 
President-Kikwete-of-Tanzania.jpg

Jamaa ana-injoi eeeh?
Pole na kazi nzito mwaka mzima wastahili mapumziko!
Dah kazi tunayo....yan kajamaa ni kasharobaro aisee wala hakana habari kuwa kuna wa tz wanaishi kwa shida sana humu nchini.
Full Good Time
 
Wafalme pekee ndo wanakaa miezi sita hadi mwaka bila kuonekana wala kuongea na taifa, kwasababu watendaji wanakuwepo. Sasa naona huyu wetu ameshajiona mfalme kwasababu mwanae mtendaji, sasa ivi huu mwaka ukiacha kufungua mikutano na magorofa, mara alizoongea na wananchi zinahesabika. Ukiacha kutangaza baraza la mawaziri, akaja kuongea tena mwezi wa sita, alafu baada ya hapo akakurupuka kwa kuwaogopa chadema, akaongea juu ya katiba.

Yaani jamaa akiona magazeti chadema ime backfire, kesho anaita wazee kuongea.
 
kwa nini mapumziko ya viongozi yasitangazwe kila mtz akajua kuwa rais yupo likizo au wazir4i yupo leave? kuna umuhimu gani kuweka siri?inatosha sasa haya mambo yawe stipulated otherwise tutalalama sana bila mafanikio
 
kwa nini mapumziko ya viongozi yasitangazwe kila mtz akajua kuwa rais yupo likizo au wazir4i yupo leave? kuna umuhimu gani kuweka siri?inatosha sasa haya mambo yawe stipulated otherwise tutalalama sana bila mafanikio

Obama au kameruni huwa wanatangaza?
 
Mbona hii siielewi, aliye quote, na aliyetuma original ametangulia aliyequote! Why?

Kuna kitu kinaitwa "thought broadcast"
Manake unawaza kitu kabla hujasema mtu mwingine anakunukuu au anasema unayowaza. Si lazima muwe mnafahamiana.
Ni complex kidogo. Halafu ni rare.
Ndo hii iliyotokea.
 
12_11_g3w0ke.jpg
Rais Jakaya Kikwete akiwasalimia wananchi waliokuwa upande wa pili wa mto Msimbazi katika eneo la Jangwani, Dar es Salaam wakati alipofanya ziara ya kukagua athari za mafuriko yaliyosababishwa na mvua zilizonyesha kwa siku mbili mfululizo jijini humo. (Picha na Ikulu)
 
dah kazi tunayo....yan kajamaa ni kasharobaro aisee wala hakana habari kuwa kuna wa tz wanaishi kwa shida sana humu nchini.
Full good time

asee aghrrr
ninahasira nae hapa umeme sijaupata 4 3 dayz yeye anauza
shati ya mauamaua
huko tarangire!!
Hivi hili sunami halikupita magogoni?
Aghrrrrrr
 
Back
Top Bottom