naninibaraka
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 910
- 668
Ni jambo la ajabu na la kusikitika rais wetu kuacha wananchi wakihaha na maafa ya mafuriko na kwenda kupumzika serengeti,si pinda wala kikwete waliojitokeza mapema kuwapa watz wenzetu moyo,badala yake leo ndo wanatangaza kuwa rais kakatiza mapumziko au alikimbia mafuriko? Barabara za dar,madaraja infrastructure za umeme zimeharibika,wananchi hawana makazi kwa sababu ya athari za mafuriko,hatuna viongozi wanaojali wananchi,na kuwa nao wakati wa matatizo makubwa kama kipindi hiki,mkuu wa mkoa,wakuu wa wilaya ndo wanahangaika huku huku!