Geeque
JF-Expert Member
- Aug 17, 2007
- 936
- 316
Sina hakika kama ataenda huko Minnesota maana hakuna ajuaye ratiba ya Rais (ni vizuri kufanya siri).
So far, tunafanya kampeni ili Kikwete aende Detroit au Chicago ili ahojiwe na Mwanakijiji kupitia KLH news au Bongoradio.
I have my fingers crossed, Kikwete inabidi arushwe live and direct from Bongoradio na baadae awe kwenye podcast ya KLH.
Mazee GQ upoooo?
Brazameni Kikwete Bongo Radio hawezi kuja, maana hakuna mipaka katika uulizaji wa maswali. Yeye atakuwa anataka interview iwe scripted na maswali ayachague yeye. Lakini unajua amekuja right on time kwa ajili ya shopping season na sitoshangaa ukisikia amealikwa kwenye Party za kina Pdiddy kule Hamptons au The Mansion.