Kikwete ana kipi special hadi asingiziwe?

Sumbalawinyo

JF-Expert Member
Sep 22, 2009
1,282
247
Salva Rweyemamu msemaji wa lkulu amepinga vikali kuwa raisi wetu hakupokea hongo ya suti.
Je wikileaks wana ugomvi gani na kikwete hadi wamsingizie? Au kuna mkono wa Chadema kwenye hii KASHFA YA RAISI?
 
Salva Rweyemamu msemaji wa lkulu amepinga vikali kuwa raisi wetu hakupokea hongo ya suti.
Je wikileaks wana ugomvi gani na kikwete hadi wamsingizie? Au kuna mkono wa Chadema kwenye hii KASHFA YA RAISI?
Nadhani Mhe. Salva badala ya kuhangaika na propaganda angetoa kusudio la siku saba mmiliki wa Wikileaks achapiche tamko la kuomba radhi la sivyo atafikishwa mahakamani kwa kuchafua kilicho kisafi , zaidi ya hapo tutajua ni juhudi za kufua kwa maji taka huku unatarajia kung'arisha
 
Nadhani Mhe. Salva badala ya kuhangaika na propaganda angetoa kusudio la siku saba mmiliki wa Wikileaks achapiche tamko la kuomba radhi la sivyo atafikishwa mahakamani kwa kuchafua kilicho kisafi , zaidi ya hapo tutajua ni juhudi za kufua kwa maji taka huku unatarajia kung'arisha

Kwani Wikileaks ndio walioandika hayo? nadhani watu wengi hawajaelewa nini maana ya weakleaks. Hizo ni "Classified diplomatic communication cables" kutoka ubalozi wa Marekani kwenda Idara ya Mambo ya Nje ya Marekani. Kwa hiyo walioandika siyo weakleaks bali ni maafisa wa US embassy. Walichofanya Wikileaks ni kuvujisha mawasiliano ambayo ni siri hayakupaswa kujulikana kwa watu walio nje ya mfumo wa intelijensia ya marekani.

Kama ni uongpo mwongo ni US Embassy na sio Wikileaks.
 
Jamani,

Ni kweli walimhadaa kwa suti akatoa ardhi (Na sasa Mahakama ya Rufaa). Mwarabu wa Kempiski kidume bana.

Eti wanajitetea kuwa Marekani wameanza chokochoko za kutaka kuing'oa serikali ya Tanzanania kama ilivokuwa Libya. Ole wenu tutakapoamka dhidi yenu mnaotuibia, hakuna wa kutuzuia.

Fait Accompli.
 
nadhani hatua sahihi ingekuwa kumwita balozi wa marekani pale mambo ya nje na kumuuliza kama hicho kilichoandikwa na weakleaks ni kweli ni mawasiliano yao wamarekani na si weakleaks. manake wao ndo waliomdharirisha mh 'raisi' (feki - mchakachuaji) kwa mawasiliano yao yaliyonaswa na weakleaks na kuvujishwa hadharani! vinginevyo kama alivyosema mdau mmoja hapo, ni kusafisha nguo kwa maji taka!
 
Weakleaks wanavujisha taarifa za kiintelijensia za Ubalozi wa Marekani na kuutoa. Serikali ilitakiwa iwabane hawa Weakleaks wathibitishe kama kweli hizo taarifa wamezitoa Katika mawasiliano ya Us Embasy na kama ni kweli Us Embasy ilitakiwa wabanwe wathibitishe wakishindwa tuwafukuze wafunge ubalozi wao hapa kwetu maana watakuwa hawatutakii mema. Kwakutokuwabana inaonyesha haya yote ni ya kweli
 
Lakini kwa nini US Embassy umsingizie Kikwete? Kikwete akiri madhambi yake, atuombe radhi kisha ajiuzulu. Ameliaibisha taifa
 
JK na ikulu yake waibane USA embassy?Mimi nakufa..Anavyopenda kwenda huko kula bata...Nakwambia hawazi kusema chochote wala hata barua hataandika kwa huo Ubalozi wa USA.Akileta longolongo no Visa to USA...kwisha kazi.
 
Mada yako ni nzuri ila unaipotosha kwa kuingiza ChADEMA, kumbuka wikileaks huyohuyo amesema kuwa slaa hakushinda- ni mkono wa ccm ama?!
Salva Rweyemamu msemaji wa lkulu amepinga vikali kuwa raisi wetu hakupokea hongo ya suti.<br />
Je wikileaks wana ugomvi gani na kikwete hadi wamsingizie? Au kuna mkono wa Chadema kwenye hii KASHFA YA RAISI?
<br />
<br />
 
Duuh ! natamani niijue hizo suti.....itabidi nipitie picha za zamani za JK kwani najua hatozivaa tena. Kama rais anapitisha bakuli kuomba misaada si ajabu kupewa suti pia kama msaada....ila kulipa fadhila kwa muarabu ni ghali na kunawagharimu watanzania.
 
Nilichokipenda zaidi ni kuwa anatmia vyumba vya kempinsk kwa mambo yake ya siri marakwa mara na haorodheshwi kwenye orodha ya wageni. Kwangu mimi ni more shamefull kwa kiongozi wanchi kusaidia taasis kukwepa kodi. Kama salva angekuwa na hekima angejibu hoja moja baada ya nyingine na siyo kukurupuka na kumtaka mmilikiwa hotel kuthibitisha. Salva atuambie: JK si mteja wa hotel?!, hakusafiri safari ya hisani na kununua suti?, hakupokea mchango wa uchaguzi?. Na pia Salva ajifunze protocol ya kuhoji mambo: nani aulizwe/ ajibu juu ya hili- mmiliki wa hotel?!, boss wa hotel?!, weekleaks?! Au ubalozi wa marekani?!.
 
salva rweyemamu msemaji wa lkulu amepinga vikali kuwa raisi wetu hakupokea hongo ya suti.
Je wikileaks wana ugomvi gani na kikwete hadi wamsingizie? Au kuna mkono wa chadema kwenye hii kashfa ya raisi?

weakleaks i nani kwani humu ulimwenguni..nani kawapa mamlka wakiongea kila kitu tuwaamini?
 
Weakleaks wanavujisha taarifa za kiintelijensia za Ubalozi wa Marekani na kuutoa. Serikali ilitakiwa iwabane hawa Weakleaks wathibitishe kama kweli hizo taarifa wamezitoa Katika mawasiliano ya Us Embasy na kama ni kweli Us Embasy ilitakiwa wabanwe wathibitishe wakishindwa tuwafukuze wafunge ubalozi wao hapa kwetu maana watakuwa hawatutakii mema. Kwakutokuwabana inaonyesha haya yote ni ya kweli
<br />
<br />
mna ubavu wa kuwafukuza wa marekani nyie,au unaongea 2,infact ha2wez vunja uhusiano we2 na Us eti kisa mpuuzi mmoja{jk}kachafuliwa.
 
Jk anaona aibu sana, anajua wakubwa zake huko US wanajua ni mwepesi, hata suti anahongeka.
 
Back
Top Bottom