Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,529
- 8,614
"Jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza"
Kuna afisa usalama aliwahi kuniambia kuwa,Kuongoza JKT kunahitaji mtu mwadilifu sana, kwani JKT ina vikosi vingi hata kuliko JWTZ, kwahiyo JKT ikihasi inaweza leta matatizo mingi.
Kutokana na uteuzi huu kuna mjeshi ameniambia hata wao wameshtushwa na uteuzi huu,kwani hao jamaa wa juu mf;ma major General wanatakiwa kuwa makao makuu, hivyo serikali inaingia gharama za bure hawafanyi kazi yoyote.Na alisema inaelekea kama vile mh. amewatunuku wale wa kizazi chake ili wamalizie ustahafu wao vizuri.
Kwa mujibu wa mjeshi huyo makao makuu ikibaki na hao ma major gen wanne, wanatosha wengine wabaki huku chini wafanye kazi.
Tatizo hakuna Tundu lissu wa jeshi.Hizi teuzi zimekaa kirafiki zaidi.
You are very much ..right...JK amesabanisha tuwe na major generals wengi kwenye service kuliiko mahitaji.....niwape mfano mmoja ..Idara ya utuumishi Jeshini ambayo miaka yote CP(chief of personnel ) amekuwa na cheo cha brigadier general .....na hata ndomba alikuwa pale alipopewa umeja general Akaenda JKT.......eti sasa CP ni major General mwakipunda Grace na msaidizi wake director of personnel ni meja general Lilian Kijazi .....miaka yote msaidizi wa CP amekuwa na cheo cha kanali........sasa kuwaweka maj generals wawili kwenye dircorate moja ni akili kweli? Au tu ni kuonekana umteeuuuwa wanawake??