figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
Rais wa Tanzania dr. Jakaya Kikwete amemuapisha ruteni generali Samwel Albert Ndomba kuchukua nafasi ya aliyekuwa mnadhimu mkuu wa jeshi A.A.Shimbo aliye fikisha umri wa kusitafu wa miaka 60. Mwingine aliye apishwa ni Rafael Muhuga Mgoya atakaye kuwa mkuu wa utawala wa mafunzo wa JKT.
Ni hayo tu. mia
Ni hayo tu. mia