huyu nani jamani Gabgo ....?
Huyo Gbabo akitoka ktk handaki
huyu nani jamani Gabgo ....?
hawa wanaoandaliwa kama successors tayari wana mtaji kipesa (nasikia Rz1, mwinyi mwenyewe, nk) na wanadhani umaskini wa WaTZ watautumia vizuri, pia wanataka kuwa partners na haya mataifa ya nje kuwadominate wananchi. Ukweli watakuwa wanapoteza muda ...Ghadafi ana pesa nyingi sana lakini hazionekani kumsaidia wakati huu!Wana JF.
Hivi Hizi nchi zetu za Kiafrika tumerogwa nini?? Mbona mifano na matukio mengi tuu yanaashiria wananchi hawataki kuburuzwa eg Gbagbo mumeona jana alichofanyiwa kutoka urais mpaka mahali alipo sasa, Ndio yale ya Gaddafi ajilaumu yeye mwenyewe maana hakuwa na misimamo kwani angeliwashughulisha wananchi wake katikla serikali Sidhani kama USA na nchi za Ulaya zinge mgusa kwani wananchi wangesimama nae kupinga uvamizi wa mataifa ya nje sasa ni aibu tu kwa viongozi wetu wa africa maana wengi wana interest zao na hayo mataifa ya nje kuwa watumwa tuu maana Africa still ina resource za hali ya juu sana na hazijaisha na stil hayo mataifa ya nje yanataka kuja kuzichuma
Sasa sielewi nini viongozi wa CCM hawakioni utawala wa kisultani mwiko jamani kuweni waelewa
kwa yale yaliotokea juzi na jana mjini Dodoma, ni dhairi ya kwamba kikwete anamuandalia mtoto wa mzee mwinyi kuwa raisi wa Jamuhuri ya mungano wa Tanzania. Vigezo ni vingi, ebu angalia halimashauri mpya ya chama? angalia pia kamati kuu. nafiki mpango umeanza na utatimia. Nawasilisha
Mkuu.Huu muungano tuumalize, mie binafsi sitaki kusikia neno muungano. Tuumalize kwanini sisi hatuwezi kushika nafasi ktk serikali ya zanzibar? muungano gani huo.
Viongozi waafrika bana - haya ndiyo wanayotaka! Heshima kiasi gani angepata huyu bwana kama angekubali matokeo ya uchaguzi.
huyu nani jamani Gabgo ....?
Mkuu.
Tupo wengi tusiouelewa Muungano huu.
Tupo wengi sana tuna-confuse serikali ya Muungano na serikali ya Tanganyika.
Muundo huu wa muungano ni mbovu.
Kwa ulivyo, mtanganyika aka mtanzania bara hana haki ya kushika nafasi katika serikali ya Zanzibar.
Pia kutokana na kutokuwa na umakini au mipaka ya ugawaji madaraka, Rais wa Muungano anaweza kumchagua Mzanzibari kushika wadhifa katika wizara za mambo ya Tanganyika...kitu ambacho ilipasa kuwekwa wazi kuwa Mzanzibari anaweza kupewa wadhifa katika wizara za mambo ya Muungano tu.
Kutoka kwenye "upuuzi" huu ni kwa kuwepo kwa serikali ya Tanganyika au kama tunakubali kuiita serikali ya Tanzania bara sawa pia. Itakuwa kama ile ya Zanzibar.Itakuwa inashughulikia mambo ya Tanganyika tu na hapo Mzanzibari hatakuwa na haki ya kushika nafasi au wadhifa.
Na serikali ya muungano ni ya wote, watanganyika na wazanzibari. Wala hakutakuwa na umuhimu wa kuwa na serikali kubwa. Mambo ya Muungano sio mengi, pia hatutahitaji bunge kubwa, Bunge la Muungano linaweza kuwa na wabunge 20 tu.
Kama ulielewa Serikali anayoiongoza Kikwete ni serikali ya Tanganyika aka Tanzania bara hukuwa sahihi katika premise yako ya kwa nini wazanzibari wanashika nafasi humo.Serikali ya kikwete ni ya Muungano.
Kwa mfumo mbovu wa Muungano, serikali ya Kikwete pia inafanya kazi za serikali ya Tanganyika kwa mambo ambayo si ya Muungano. Na mzanzibari akipewa wadhifa katika wizara ambazo si za mambo ya muungano basi ni abusive of power.
Ulaji kwishne,kitambi kama pipa!
Unajuaje kama raisi atatoka ccm? Naona watu wamezoea kusema fulani kutoka ccm atakuwa raisi n.k. Tunasahau kuwa nchi hii ni ya vyama vingi, na huko tuendako, mawazo na fikra a wananchi zitabadilika, na pengine hata tabia yao ya upigaji kura na mapenzi ya vyama yanaweza kubadilika vilevile. Tumo katika mfumo wa vingi, tuondokane na mawazo ya mfumo mmoja, hasa hayo ya kufikiria kuwa raisi atatoka ccm kila wakati.kwa yale yaliotokea juzi na jana mjini Dodoma, ni dhairi ya kwamba kikwete anamuandalia mtoto wa mzee mwinyi kuwa raisi wa Jamuhuri ya mungano wa Tanzania. Vigezo ni vingi, ebu angalia halimashauri mpya ya chama? angalia pia kamati kuu. nafiki mpango umeanza na utatimia. Nawasilisha
kwa yale yaliotokea juzi na jana mjini Dodoma, ni dhairi ya kwamba kikwete anamuandalia mtoto wa mzee mwinyi kuwa raisi wa Jamuhuri ya mungano wa Tanzania. Vigezo ni vingi, ebu angalia halimashauri mpya ya chama? angalia pia kamati kuu. nafiki mpango umeanza na utatimia. Nawasilisha
Ni kile nilichosikia kwamba Kikwete aliapa haachi nchi kwa MAKAFIRI!
Haya ngoja tuone ingawa huyu kilaza hajawahi hata siku moja kusema la maana kwa miaka yote ya uwaziri wake wa zawadi.