Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
- Thread starter
- #61
kuwa mwanasheria wa Lulu kuna usihana nini na kuteuliwa be reasonable for Pete's sake
We unasoma tu habari hii hapa bila kuunganisha ukanda wa video tangu kifo cha Kanumba, yaliyosababisha kifo cha Kanumba, aliokuwa anaongea kwa simu Lulu wakati wanazozana na Kanumba kabla ya kifo chake, na mengineyo utajua mahesabu ya kalikulas na jibu pengine si la moja kwa moja sababu fomula yake ni kubwa kupata jibu.