Kikwete amtembelea Kardinali Pengo Dubai

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,287
KIKWETE+PICHA.jpg


Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete amemtembelea Mhadhama Polycarp Kardinali Pengo, nchini Dubai leo.


Kikwete ameandika katika mtandao wake wa kijamii wa Twitter leo(Ijumaa) na kueleza kuwa amemkuta Kardinali Pengo akiwa mwenye siha njema.

Ingawa hajaeleza amemkuta Kardinali Pengo nyumbani au Hospitali lakini askofu huyo mkuu wa jimbo la Dar es Salaam, amewahi kuripotiwa kuwa yupo nje ya nchi kwa matibabu.

“Nikiwa Dubai safarini kwenda Canada, nimemtembelea asubuhi hii Mhadhama Polycarp Kadinali Pengo na nimefarijika kumkuta akiwa na siha njema.” Ameandika Kikwete

Kikwete amesema amemtembelea Kardinali Pengo wakati akiwa safarini kuelekea Canada.


Chanzo: Mwananchi
 
Mara zote dagaa ndio wanakamatwa nchi yetu, wasababishaji wanadunda.
 
Ha ha haaaa

Naona mmepata lingine la kuongelea siku ya leo juu ya safari hiyo ya Canada.

Mimi yangu macho na masikio.
 

Similar Discussions

9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom