singidadodoma
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,394
- 1,531
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No...No....asilan abadan usimfananishe binadamu na mnyama.Allah amemuumba binadamu na akamsifia sana.Hisia na hasira zako kuhusu uchaguzi ni sawa na za wengi tu...fanya subira na mlaani shetani.omba msamaha na fanya toba
Kwa aliyosema hajamtukana mtu au kiswahili si lugha mama kwako?angalia usijekutafutwa..maana hao wote unaowatukana hapo wanayo mamlaka ya kukufukua popote ulipo.
Kikwete namfananisha na Mbwa Koko wa Tanzania! Huku NEC nikiifananisha na mbwa mwitu wa Tanzania. Hali kadharika Mkapa namfananisha na Mbweha wa Tanzania.
Kingunge umejizalilisha mzee
Kwani Kusema UKWELI Na Kuonyesha MTAZAMO Wake Ni Kosa!! Sasa Ni Nani Aliyejidharirisha Kati Ya Mzee KINGUNGE Na RAIS Wako!! Kwa Kupora USHINDI Wa Mtu Ambaye Ameshinda Kwa Kufuta MATOKEO!!!?? Ni AJABU Eti Mkuu Wa Shule Ameamuru MATOKEO Ya MTIHANI Uliyokwisha Fanyika, Umesahihishwa Na MATOKEO Yamebandikwa Ktk. Notice Board Ya Shule!!! Lkn Mkuu Wa Shule Baada Ya KUONA Kuwa Mtt Wake Amefeli MTIHANI, Ameamuru MATOKEO YOTE Yafutwe!!!! SWALI Je, INGEKUWA MTOTO Wa Mkuu Wa Shule NDIYE Amefaulu MTIHANI HUO, Hata Kama Alipewa MAJIBU Na Mkuu Wa Shule (Babake) Au Kwa Chabo!! Na Wanafunzi Wengine Wamefeli MTIHANI HUO, Je, Mkuu Wa Shule Angefuta MATOKEO!!!!!?????
Waziri wa ujenzi na Rais mteule wa Tanzania akiwa na Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Lakini makamanda....tukumbuke kuwa hata Dk Slaa alisemekana kuwa alishinda ule uchaguzi wa 2010 lakini hila za CCM akiwemo LOWASA aliyepambana rafiki yake aingie madarakani walifanikiwa kumpora ushindi Dk Slaa......dhambi hiyo hiyo ndio inayomtafuna LOWASA KIPINDI HIKI.....
Ngoja nipite sioni vizuri
Furaha FEKI... NYUSO FEKI...!!!
GESTURES feki, Is clearly seen, someone will be controlled remotely from Msoga..!!! So sad...!!!
Ni huzuni tupu...!!!
Kingunge umejizalilisha mzee
Jomba kama anamgwaya JK vile.
Confidence zero, Mapozi ya ki local.
Jamaa wala hafanani na uRais.
Poor TZ.