PayGod
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 1,259
- 57
Ijapokuwa MRAMBA, ana kashifa kubwa ya matumizi mabaya ya uongozi, jk amempigia debe B MRAMBA, achaguliwe tena kuwa mbunge wa ROMBO, JK alikuwa anampigia debe MRAMBA, leo katika mkutano wa siasa uliofanyika katika kiwanja cha shule ya msingi mbomai kati, TARAKEA, ROMBO.
Ambapo asilimia 50 ya waliohudhuria , walikuwa wanafunzi wa shule mbalimbali hapa tarakea, kama mboma sec, nduweni sec, motamburu sec, mbomai primary, tarakea primary, na nyingine nyingi
Ambapo asilimia 50 ya waliohudhuria , walikuwa wanafunzi wa shule mbalimbali hapa tarakea, kama mboma sec, nduweni sec, motamburu sec, mbomai primary, tarakea primary, na nyingine nyingi