Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,872
- 21,950
Ndugu zanguni nimeona sasa nianze kuangalia hii miaka mitano inaishia sioni allicchokifanya rais wetu ukiacha safari za nje za kila siku..labda tusaidiane kwa hili...nimejaribu kuangalia hata miradi ya mikoani kama mmoja wa juzi mradi wa maji...alieenda kufungua lakini umeanzishwa na fisadi BWM.
Chuo kikuu cha DODOMA kakuta BWM akamalizia...kila sehemu yeye anamalizia nini anachoakianzisha yeye mwenyewe awe ameweka pale kwa ajili ya safari na PER DIEM....../
Chuo kikuu cha DODOMA kakuta BWM akamalizia...kila sehemu yeye anamalizia nini anachoakianzisha yeye mwenyewe awe ameweka pale kwa ajili ya safari na PER DIEM....../