ilimchukua miaka kumi Kikwete na Lowassa kuwahadaa CCM na watanzania kwa kuandikwa vizuri sana kila kona, ilipofika kipindi cha uchaguzi mkuu, 2005, Kikwete alikuwa juu sana ya mtazania yeyote kwenye swala la urais...........alipendwa kila kona
chacha wangwe alipotaka uongozi wa juu wa CDM, alinenewa maneno ya msaliti, fisadi, anaongwa na CCM n.k
CCM watu walipotaka ku contest uenyekiti wa kikwete .majina kibao waliitwa akina shibuda na wengineo, ikatumika au ukatumika uamuzi usio wa busara wa ''zidumu fikra za mwenyekiti''
KWENYE siasa a inawachukua watu hata miaka mitano au kumi kujitayarisha na jambo fulani........na hapo ndipo wanapowakamata watu kama wewe
zito tangu alipotaka kugombea uongozi 2009 tangia hapo hajawa salama, kwani agenda ya cdm ni ''Mbowe forever' sidhani kama na wewe unakubaliana na hili unless una mtindio wa ubongi
kilichoandikwa hapo ni kumshusha zitto, tangia 2009-2012 zitto amesemwa sana, majina yote, mwaka huu 2013 baada ya kuona HAMJAWEZA KUMSHUMSHA NA NYOTA YAKE IMEKUWA JUU, mmeamua kutumia uhuni eti atimuliwe, baadae MTAMWACHIA UANACHAMA, ILA MTASEMA HANA SIFA YA UENYEKITI
KWA MAANA NYINGINE NDANI YA HIYO CHADEMA, UKIMSIMAMISHA ZITTO NA MBOWE, ZITTO ANASHINDA UCHAGUZI, kila mtu anajua hili, slaa, mbowe, lema, nassari, msigwa wanajua HILI VIZURI SANA, labda wewe tu haujui
kupendwa watu wanapendwa, niambie mchadema gani anamchukuia magufuli? mwakyembe?? au slaa anapendwa na wanachadema tu?? hakuna wana CCM wanaompenda?? HOJA ZA zitto sikuzote zinagusa kila mtu katika jamii, wanaompenda ni wengi wa kila chama, kila rika n. nipe HOJA MOJA YA MBOWE ALIYOISIMAMIA NA KUIBUA INAYOMGUSA MTANZANIA...(nil)
CHADEMA INATEKELEZA LENGO LA KUTOWASAIDIA WATANZANIA ILA KULA MAHELA YA RUZUKU NA MISAADA
ZITTO ATABAKI MIOYONI MWA WATU, ATAKUA, ATANG'ARA, WABUNGE WOTE WA CHADEMA BILA ZITTO NA SLAA WASINGEKUWA HAPO
CHADEMA KINATAKIWA KIWE CHAMA MA SI SACCOSS KAMA HIVI SASA,
NDIO HAKITAKUFA SIMPLY KWA SABABU NI SACCOSS NA SIO CHAMA
WATU WA NJE WAWE NA DREAMS KUHUSU CHADEMA
WANAOTETEA UOZO WA CHADEMA LAZIMA WANAHUSIKA, AU NI MAHABA KIPOFU
chacha wangwe alipotaka uongozi wa juu wa CDM, alinenewa maneno ya msaliti, fisadi, anaongwa na CCM n.k
CCM watu walipotaka ku contest uenyekiti wa kikwete .majina kibao waliitwa akina shibuda na wengineo, ikatumika au ukatumika uamuzi usio wa busara wa ''zidumu fikra za mwenyekiti''
KWENYE siasa a inawachukua watu hata miaka mitano au kumi kujitayarisha na jambo fulani........na hapo ndipo wanapowakamata watu kama wewe
zito tangu alipotaka kugombea uongozi 2009 tangia hapo hajawa salama, kwani agenda ya cdm ni ''Mbowe forever' sidhani kama na wewe unakubaliana na hili unless una mtindio wa ubongi
kilichoandikwa hapo ni kumshusha zitto, tangia 2009-2012 zitto amesemwa sana, majina yote, mwaka huu 2013 baada ya kuona HAMJAWEZA KUMSHUMSHA NA NYOTA YAKE IMEKUWA JUU, mmeamua kutumia uhuni eti atimuliwe, baadae MTAMWACHIA UANACHAMA, ILA MTASEMA HANA SIFA YA UENYEKITI
KWA MAANA NYINGINE NDANI YA HIYO CHADEMA, UKIMSIMAMISHA ZITTO NA MBOWE, ZITTO ANASHINDA UCHAGUZI, kila mtu anajua hili, slaa, mbowe, lema, nassari, msigwa wanajua HILI VIZURI SANA, labda wewe tu haujui
kupendwa watu wanapendwa, niambie mchadema gani anamchukuia magufuli? mwakyembe?? au slaa anapendwa na wanachadema tu?? hakuna wana CCM wanaompenda?? HOJA ZA zitto sikuzote zinagusa kila mtu katika jamii, wanaompenda ni wengi wa kila chama, kila rika n. nipe HOJA MOJA YA MBOWE ALIYOISIMAMIA NA KUIBUA INAYOMGUSA MTANZANIA...(nil)
CHADEMA INATEKELEZA LENGO LA KUTOWASAIDIA WATANZANIA ILA KULA MAHELA YA RUZUKU NA MISAADA
ZITTO ATABAKI MIOYONI MWA WATU, ATAKUA, ATANG'ARA, WABUNGE WOTE WA CHADEMA BILA ZITTO NA SLAA WASINGEKUWA HAPO
CHADEMA KINATAKIWA KIWE CHAMA MA SI SACCOSS KAMA HIVI SASA,
NDIO HAKITAKUFA SIMPLY KWA SABABU NI SACCOSS NA SIO CHAMA
WATU WA NJE WAWE NA DREAMS KUHUSU CHADEMA
WANAOTETEA UOZO WA CHADEMA LAZIMA WANAHUSIKA, AU NI MAHABA KIPOFU