tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
Nipo maeneo ya Longido na kuna wamasai wa jimbo la Ngorongoro wamenieleza kitu kilichoniuma sana. Waliniambia kwamba JK hakufanya mkutano wa hadhara Ngorongoro ila aliwaita faragha ma-Laighwanani (wazee wa kimila wa kimasai) na kuwapa mshiko kiasi cha 1,250,000 TShs. wakawatishe wamasai wamaeneo yao kwamba atakayeenda kupiga kura siku hiyo atapata laana ya machifu hao. And, yes it worked! Hali ilkuwa ya kutisha sana. Kijana mmojawapo aliniambia alikuwa wakala wa CHADEMA somewhere na kituo kilikuwa na wmajina ya wapiga kura 220 lakini wliokuja kupiga kura ni 58 tu, alipowauliza baadhi ya watu kwa nini hawakupiga kura, walijibu waliogopa laana ya machifu wao!
Je, hii si sababu ya watu wengi kuto-turn up?
Je, hii si sababu ya watu wengi kuto-turn up?