DAR si LAMU
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 2,928
- 544
Ukitaka kumpata malaya kwa bei poa...anza kwa kumsifia kwanza.
..duh!mwanangu hapo umenigusa fikra!
..fmes!mjumbe hauawi!huo ujumbe una maana sana kwa hayo uliyoya-quote,ambayo kimsingi ni sifa zilizotolewa na propaganda machines za west ili tuwe soft when it comes to negotiating!
..thx,invicible!