Jk leo alikuwa Bungeni, kama mmoja wa wageni wa Bunge. Alipotambulishwa, ameshangiliwa kwa kiasi cha kufa mtu, Spika amekiri haijawahi tokea mgeni kushangiliwa kiasi kile.
Ona hapa Chini.
na ukizingatia wabunge wa chadema ni wengi sana kuliko wa ccm.Inamaanisha chadema ni wanafki kiwango cha petro aliyemkana yesu
Hata mkiwa kumi kama mnamizuka ya kupiga kelele mtaonekana elfuna ukizingatia wabunge wa chadema ni wengi sana kuliko wa ccm.
mkuu sijakuelewa kabisa what does that have to with CHADEMA? mi nimeona wabunge wanashangilia au leo kulikuwa na kikao cha wabunge wa chadema pekee?Inamaanisha chadema ni wanafki kiwango cha petro aliyemkana yesu
ila hapo hawapo kumi.Hata mkiwa kumi kama mnamizuka ya kupiga kelele mtaonekana elfu
Washangiliaji chadema na wauza unga wapiga dili,na hao hao walikuwa wanamtukana miaka miwili iliyopita kama unafki ni nini?mkuu sijakuelewa kabisa what does that have to with CHADEMA? mi nimeona wabunge wanashangilia au leo kulikuwa na kikao cha wabunge wa chadema pekee?
unahisi swali lako linafanana na mada mezani?Una mume?
punguza jazba mwanamama wait for viti maalumu unafanana kweli na wabunge wa viti maalumu.Washangiliaji chadema na wauza unga wapiga dili,na hao hao walikuwa wanamtukana miaka miwili iliyopita kama unafki ni nini?
Achana na huyo bibi kuna mtu kamtosamkuu sijakuelewa kabisa what does that have to with CHADEMA? mi nimeona wabunge wanashangilia au leo kulikuwa na kikao cha wabunge wa chadema pekee?
Ndo uwezo wenu wakufikili ulipoishiapunguza jazba mwanamama wait for viti maalumu unafanana kweli na wabunge wa viti maalumu.
nashukuruna ukizingatia wabunge wa chadema ni wengi sana kuliko wa ccm.