Kikwete alivyoondoka Monduli chuo cha Jeshi kwa misukosuko

Ehh hii kali, kumekuwa na watu wanahoji inakuwaje jamaa hazungumziagi maisha yake akiwa CTU (TMA) Monduli
 
Nikisia haya nakumbuka yaliyomtokea Dr Sailm Ahamed Salim pale alipotaka kushindana na Kikwete katika mchujo wa kuwania kugombea urais.
 
Sasa ilikuwaje JMK kupanda cheo cha kijeshi mpaka kuwa Kanali Kama hakumaliza Mafunzo pale Monduli??

Nimejijibu mwenyewe alikuwa Mkufunzi na siyo Mwanafunzi.
Okay nimeelewa kiswahili kilinipiga chenga.

Mhhh...Kanali? hebu vuta kumbukumbu zako bana,
 
Mi nina wasiwasi kidogo...hizo ni taarifa za ki intelijensia, inakuwaje Mwalimu azipotezee kihivyo....sio kuwa jamaa alikuwa asset wa kulete taarifa?.....unless alikuwa na watu wake wengine.....sijui...mawazo tu.

Mwalimu siku zote aliogopa sana kucheza na wanajeshi, hivyo naamini kwamba aliona namna bora ya kutatua tatizo hilo ilikuwa kuwaachia wenyewe!
 
Sasa ilikuwaje JMK kupanda cheo cha kijeshi mpaka kuwa Kanali Kama hakumaliza Mafunzo pale Monduli??

Nimejijibu mwenyewe alikuwa Mkufunzi na siyo Mwanafunzi.
Okay nimeelewa kiswahili kilinipiga chenga.


Ha ha ha ha! watu wengine bana!
 
sayore ni mkorofi balaa tunajua . kama asinge chapa mwendo ingekula kwake.
 
Jaman ni mwenzenu ananiudhi, anachefua nahc kutapka kla nkisikia habar za huyu mr smile(mkwere). Anaweka vsac hata kwa mademu. Mwayajua yaliyomkuta Babu SeYa...........!!!
 
siwafichai ndugu zangu....leo nimecheka mpaka nemwaga chai laptop yangu na hivyo laptop yangu imekufa......hapa natumia ya mama watoto

hakika mkwere hafai ....halafu nimecheka zaid alivyokutana na shimbo
 
Mimi sina tatizo na unafiki wake ila najaribu kupiga picha Mkwere rais wetu alivyokuwa anakatiza porini maana toka Monduli hadi Usa River si mchezo nasema hivyo kwa vile yameshanikuta ukitoroka jeshini hufuati barabara ni kukatiza vichochoroni ukisikia mlio wa gari ni kuingia kichakani bila kuangalia humo utakutana na mnyama gani.
 
Mimi sina tatizo na unafiki wake ila najaribu kupiga picha Mkwere rais wetu alivyokuwa anakatiza porini maana toka Monduli hadi Usa River si mchezo nasema hivyo kwa vile yameshanikuta ukitoroka jeshini hufuati barabara ni kukatiza vichochoroni ukisikia mlio wa gari ni kuingia kichakani bila kuangalia humo utakutana na mnyama gani.

aah kazi kweli kweli! Kujongo!! Umenikumbusha the old good days when men were men and women used to stay in the kitchen!
 
Kama kuna chumvi mno hii story!!

Haya mazungumzo btw JK na Sayore huwa yanafanyikia wapi jamani na wewe unakuwepo?Hilo ni moja.
Pili, hivi najaribu kuangalia jiografia.... Monduli hadi Usa river? Mtoa hoja unaijua Arusha vizuri? Mbona ni njia ambazo hazikutani ? Ungesema alitokea Monduli uchochoroni ( na sijui ni upi) maana ni Maasai plains hakuna hata misitu uje hadi Burka Coffee estate, ukatize uingie mjini Arusha..... uje hadi Usa River??..Haiji kabisa.....
WomanOfSubstance

Nafikiri wewe ni mtu mzima na umesoma, kama umesoma angalau umepitia JKT au ulikuwa selule na kupelekwa Mgulani JKT kufagia michongoma. Kwa mwanajeshi wa kawaida Monduli na Usa River ni karibu sana ni mwendo wa masaa tu ukikatiza porini bila kuingia Arusha mjini. Elewa enzi zile za 70s usafiri wa raia wa kawaida ulikuwa kwa miguu sembuse mwanajeshi tena aliyetoroka.

Pori Monduli lipo hadi leo, halafu kumbuka tunazungumzia miaka ya 60-70 hata hapo Mwenge Dar lilikuwa pori kubwa kambi ya Lugalo tulikuwa tunasema iko porini watu walikuwa wanaogopa kwenda kwa vile kulikuwa na simba katikati ya Kinondoni na Mwenge sasa itakuwa huko Monduli. Au msitu unaotaka lazima uwe kama wa Ngorongoro crater.
 
sayore ni mkorofi balaa tunajua . kama asinge chapa mwendo ingekula kwake.
Haha haaaa!
Hata hivyo anatakiwa amshukuru Sayore, maana ndiye amepelekea jamaa awe hapo alipo, na apate access na mali za nchi hii ya wanyonge.
 
Jamani wakuu, hii nitrue story ingawa wengine tulikuwa hatuna details nyingi lakini ishu nzima la kutaka kumpaka tope Sayore inajulikana na mzee huyu hafichi hata akiulizwa! Mi ninachoendelea kuomba ni kuwa watanzania wenzangu endeleeni kuanika ukweli kuhusu huy CHARLATAN/ TAPELI/KIHIYO aliyechukua uongozi mkubwa wa nchi bila kuwa na ujuzi hata 10% kwamba uongozi ni nini, hana maadili na ana roho mbaya! Ila Mungu anazidi kumuumbua na tabia yake halisi imeanza kuonekana.
 
Na chaguzi zake ameshinda kwa fitna. Fitna aliyocheza 2005 dhidi ya wenzake ndani ya ccm imelaani kizazi chake chote. Fitna aliyoicheza 2010 dhidi ya dr Slaa ndiyo inayomuuma roho hadi leo hana raha, na inaweza kumng'oa madarakani na ccm nzima!
 
hearsay and gossip. fotokopi monduli miaka ya 70 wadanganyika bana!

Photo copy machine zilikuwepo mkuu ila si digital au HP au za kisasa kama zilizoko kwenye stationeries . Kuna photo copy fulani zilikuwa za kuzungusha kwa mkono mimi zilizikuta shule niliyosoma sekondari na ni ya miaka ya 70 na ilikuwa ina chumba maalum kwani ilikuwa inachafua sana. Kwa hiyo nahisi Monduli ilikuwepo ya namna hiyo.
 
Hii story authenticity yake haijajulikana vizuri, so let's say all with a grain of salt. Lakini nilishawahi kusikia kwamba Kikwete aliondoka Monduli kwa political intrigue na alikuwa hapatani na "real soldiers". So I am not very surprised to hear these details.

1. Probably hapo kulikuwa na political intrigue and ladder climbing kama motive kwa Kikwete.

2. Hata kama 1. ni kweli, Kikwete alichofanya kilikuwa sawa (as much as I don't like him, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni). Huwezi kuwa na Mkuu wa Chuo anayeuzia Chuo chakula kutoka shamba lake, conflict of interest.

3. Inawezekana kabisa Kikwete karuka escalation points kibao katika food chain. Lakini vipi kama aliona katika mfumo wa jeshi kuna kulindana kwingi na hatua hazitachukuliwa? Vipi kama aliona mtu pekee mwenye uwezo wa kumaliza haya ni Nyerere?

4. Nyerere kwa kusema "nendeni kayamalizeni huko huko" bila hata kutoa msimamo wakati anajua jeshi linaenda kwa kulindana na kumpata whistleblower kama Kikwete ni adimu ali abdicate majukumu kama kiongozi.

5. Nyerere kwa kumsaliti whistleblower Kikwete alikiuka maadili, ni kama alikuwa anataka kulindana kuendelee jeshini halafu Kikwete apatwe na mabaya. Kiongozi gani anafuga migogoro na kuacha jeshi ligubikwe na kulindana? Kwa kusema "Nendeni kayamalizeni huko huko" ina maana alikuwa hajali outcome itakuwaje.

Kama hii story ingekuwa imeandikwa kwa nia ya kumpamba Kikwete ningekuwa na mashaka nayo zaidi, lakini kwa sababu imelenga kumpaka matope Kikwete kama "mnafiki" wakati kwa ukweli ukiangalia utaona ali act kama whistleblower aliyekuwa betrayed, kwangu mimi ni moja ya stories chache sana za Kikwete zinazonionyesha Kikwete katika a positive light.

Labda Kikwete ni kiongozi mbovu sasa kwa sababu alivyokuwa kijana zaidi katika siasa alijaribu kuja na moto wa kupinga ufisadi akaona disappointment tu. Mtu unaenda kuripoti ufisadi kwa rais, rais anakusaliti. Akaona ha, kumbe style yenyewe ndiyo hii, ngoja na mimi niwe fisadi tu kieleweke, maana unaweza kujidai unapinga ufisadi ukauawa bure.

I am just saying.
 
Jamani wakuu, hii nitrue story ingawa wengine tulikuwa hatuna details nyingi lakini ishu nzima la kutaka kumpaka tope Sayore inajulikana na mzee huyu hafichi hata akiulizwa! Mi ninachoendelea kuomba ni kuwa watanzania wenzangu endeleeni kuanika ukweli kuhusu huy CHARLATAN/ TAPELI/KIHIYO aliyechukua uongozi mkubwa wa nchi bila kuwa na ujuzi hata 10% kwamba uongozi ni nini, hana maadili na ana roho mbaya! Ila Mungu anazidi kumuumbua na tabia yake halisi imeanza kuonekana.

Susuviri mkuu,

Kama kweli unaamini hii story ni ya kweli, let's not get caught up in Kikwetehate. Let's focus on the given facts bila kuangalia mabo ya baadaye ya Kikwete. Let's look at the evolution of Kikwete and what made him to be who he is today.

Ukiangalia hayo, hapo utamuona Kikwete the whistleblower and Nyerere mfuga mafisadi, period.

Of course there is always a social climbing and ambition element on the part of Kikwete, lakini kama alichosema ni kweli so what?

If at all the story is authentic, hili ni doa jingine katika rekodi ya Nyerere, na inam redeem Kikwete kidogo, kwamba angalau the young Kikwete alikuwa na guts kuwa whistleblower.
 
Mwalimu siku zote aliogopa sana kucheza na wanajeshi, hivyo naamini kwamba aliona namna bora ya kutatua tatizo hilo ilikuwa kuwaachia wenyewe!

Amiri Jeshi Mkuu anaogopa wanajeshi wake? Isn't this cowardice? Where is the courage of conviction tunayomjua kuwa nayo sana mpaka anakemea ma superpowers? Kawasema kina Reagan na Thatcher halafu kaenda kuwaogopa kina Sayore?

If true, then Nyerere the big statesman is such a sham.
 
119 Reactions
Reply
Back
Top Bottom