Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo kwa kupenda majungu, sasa kisa hicho kitawasaidia nini hata kama ni kweli.
Wabongo kwa kupenda majungu, sasa kisa hicho kitawasaidia nini hata kama ni kweli.
Wengine humu walishaandika alikuwa ananyemelea wake za wenzake huyu naye kaja na lake. Huuu ni upuuzi tu. Kama ilikuwa hivyo kumbe hata ccm ya Nyerere ilikuwa imeoza tu, itakuwaje mnafiki mmpangine kazi nyingine ya chama?
MkamaP,
Mtu wa fitina katika jamii ni sawa na mchawi ati!
hearsay and gossip. fotokopi monduli miaka ya 70 wadanganyika bana!
Yote hayo ni sifa za mkwere! Kupenda wanawake na fitina. CCM imeoza toka zamani ndo maana kuna mikakati ya kuipumzisha ije upya.
Achana na Mwandosya, labda ungeeleweka vizuri ungesema Dr SalimAhmed Salim.
Maana huyu (SAS)ndiye aliyepata kionjo cha ukweli cha fitna ya JK. kIpindi cha kampeni 2005 waliyalipa FEDHA baadhi ya magazeti yakatumika kumchafua sana SAS, hadi wakapandikizwa wazee kule Zenji ambao walitamka kwamba kama SAS angepitishwa kuwa mgombea, basi mUUNGANO ungeishia kipindi hicho.
Akavalishwa joho la HIZBU, na kuonekana ni adui mkubwa sana wa TANU NA ASP!
NAMKUBALI jk KWA FITNA!
Unajua sababu za Kifo cha Malima Kighoma?
Wengine humu walishaandika alikuwa ananyemelea wake za wenzake huyu naye kaja na lake. Huuu ni upuuzi tu. Kama ilikuwa hivyo kumbe hata ccm ya Nyerere ilikuwa imeoza tu, itakuwaje mnafiki mmpangine kazi nyingine ya chama?
Mi nina wasiwasi kidogo...hizo ni taarifa za ki intelijensia, inakuwaje Mwalimu azipotezee kihivyo....sio kuwa jamaa alikuwa asset wa kulete taarifa?.....unless alikuwa na watu wake wengine.....sijui...mawazo tu.