Kikwete alivyoondoka Monduli chuo cha Jeshi kwa misukosuko

Alichokifanya ni kuondoka haraka pale kikaoni wenzie wakajua bado yupo chuoni, kumbe safari ya Dar ikawa imeanza...!! Jamaa alitembea uchochoroni kwa muda mrefu sana huku akiogo kabisa kuingia barabara ya kuu...

Mashuhuda wanasema yule bwana akaja kupanda lift ya gari za vyama vya ushirika maeneo ya USA RIVER, hakukumbuka kubeba mzigo wowote!! Just imagine kutoka Monduli hadi hapo jamaa aliteseka sana... lakini yeye hakujali, cha muhimu ilikuwa kusalimisha maisha yake......

Basi huo ndiyo ukawa mwisho wa JK Monduli,........... hukurudi akaja Dar na kupangiwa kazi nyingine na chama... lakini alikuwa anamlaani sana Nyerere eti kwanini alimfanyia vile!!

**Ndugu zangu hiki ni kisa cha ukweli kwa 100%, inawezekana uandishi wangu ukawa na upungufu, lakini niemekipata kutoka watu mbalimbali waliowahi kuwa karibu sana na mkasa huu...

Inawezekana kweli uandishi wako una mapungufu, Usa River na Monduli ziko mbali sana, ... au ulitaka kumaanisha Mto wa Mbu?
 
Nyani haoni ********hebu pia tujikumbushe wakati slaa alipoondoka kanisani na kuukucha upadre wa kanisa katoliki,unajua sababu? ilikuwa kama hivi,kwanza alianza kwa kumuweka kimada rose kasili mtoto wa kimbulu hali ya kuwa sheria za kikanisa ambapo ana PHD yake zinakataza padre padre kuwa na mke.

Sababu ya pili aliiba pesa za chama cha vipofu Tanzania zaidi ya shilingi milioni mia saba zilizotolewa na shirika la world vision tanzania kwa ajili ya kuwasaidia vipofu nchini jamaa akaiba pesa na mwenzake ambaye yeye alirudi kaniisani akaomba radhi akasamehewa na slaa akakimbilia CCM kuomba kugombea ubunge, lakini kumbe CCM chini ya mzee mwinyi walishamstukia huyu jamaa ni jambazi na anakuja ndani ya chama kutaka kuchakachua wakamnyima nafasi.

Kilichojiri baada ya pale akakimbilia chadema ambacho hakikuwa na network kama ilivyo hivi sasa na akapewa nafasi ya kuwakilisha,mungu si athmani akashinda! toka ameingia bungeni mwaka 1995 - 2006 hakuwa akisikika kama yupo pale,baada ya kashfa zake za kijangili kuibuliwa kanisani na wanaccm naye akaona aanze kujifanya ana uchungu na taifa hili wakati hana mbele wala nyuma, eeeeeee Mungu Mwenyezi wa mbingu na nhi,tuepushe na fitna hii inayoitwa slaa.

Kama aliweza kukusaliti wewe kanisani na mbele zako vipi asiweze kutusaliti sisi wadanganyika tena mbele zako? ni nani asojua sababu za chadema kutomrushia madongo rostam pale Igunga? ni kwa sababu kuna ukweli zile pesa za kifisadi mlizozikosa za kagoda sasa zinaisaidia chadema kwenye uchaguzi kwani kuna bif baina ya rostam na akina nape! habari ndo hiyo
 
Nyani haoni ********hebu pia tujikumbushe wakati slaa alipoondoka kanisani na kuukucha upadre wa kanisa katoliki,unajua sababu? ilikuwa kama hivi,kwanza alianza kwa kumuweka kimada rose kasili mtoto wa kimbulu hali ya kuwa sheria za kikanisa ambapo ana PHD yake zinakataza padre padre kuwa na mke.

Sababu ya pili aliiba pesa za chama cha vipofu Tanzania zaidi ya shilingi milioni mia saba zilizotolewa na shirika la world vision tanzania kwa ajili ya kuwasaidia vipofu nchini jamaa akaiba pesa na mwenzake ambaye yeye alirudi kaniisani akaomba radhi akasamehewa na slaa akakimbilia CCM kuomba kugombea ubunge, lakini kumbe CCM chini ya mzee mwinyi walishamstukia huyu jamaa ni jambazi na anakuja ndani ya chama kutaka kuchakachua wakamnyima nafasi.

Kilichojiri baada ya pale akakimbilia chadema ambacho hakikuwa na network kama ilivyo hivi sasa na akapewa nafasi ya kuwakilisha,mungu si athmani akashinda! toka ameingia bungeni mwaka 1995 - 2006 hakuwa akisikika kama yupo pale,baada ya kashfa zake za kijangili kuibuliwa kanisani na wanaccm naye akaona aanze kujifanya ana uchungu na taifa hili wakati hana mbele wala nyuma, eeeeeee Mungu Mwenyezi wa mbingu na nhi,tuepushe na fitna hii inayoitwa slaa.

Kama aliweza kukusaliti wewe kanisani na mbele zako vipi asiweze kutusaliti sisi wadanganyika tena mbele zako? ni nani asojua sababu za chadema kutomrushia madongo rostam pale Igunga? ni kwa sababu kuna ukweli zile pesa za kifisadi mlizozikosa za kagoda sasa zinaisaidia chadema kwenye uchaguzi kwani kuna bif baina ya rostam na akina nape! habari ndo hiyo
Umemaliza? haya nenda kalale maana naona viroba vya leo vimekuzidi uwezo.
 
Inawezekana kweli uandishi wako una mapungufu, Usa River na Monduli ziko mbali sana, ... au ulitaka kumaanisha Mto wa Mbu?

Uliko taja ni mbali zaidi labda Ngarenaro ya chini ambayo ipo karibu sana na ARUSHA AIRPORT.
 
PakaJimmy,

Sisemi kwamba alilofanya Sayore halikuwa bora kwa utaratibu wa kawaida especially nyakati hizi za biashara huria,however ili tuwe fair,ni lazima tukumbuke kuwa alichokuwa akifanya Sayore nyakati zile,hakikuendana na sera alizokuwa akizipreach mwalimu,no wonder hata ccm leo inaplay game similar to mwalimu's mistake,nasema "Mistake" kwasababu sitaki kuamini kuwa mwalimu alitusababishia haya kwa kutaka.

However,ccm bado wako vuguvugu kama enzi zile maana ni chama cha kijamaa kinachofanya mambo kibepari,na sasa si kibepari tena,bali imegeuka kuwa kifisadi!

Kuna anayejua kuwa ndani ya mashamba hayo ni nani alikuwa akifanya kazi na gharama za uendeshaji wa mashamba hayo kama zilikuwa toka mfukoni kwake pekee?

Vinavyoendelea sasa hivi chini ya ccm kumbe vilianza zamani,the only difference is who was doing it!Mtu binafsi kumiliki mashamba makubwa ilikuwa ni ukabaila kwa wakati huo,mashamba makubwa yalikuwa mali ya umma ama serikali...Sasa sishangai kuona kuna wanafunzi wa tofauti tofauti wa mwalimu,kuna wenye nazo na kuna wasio nazo....Kuna walioruhusiwa kuwa mabepari by the virtue of either militarism kama ilivyo kwa Sayore na wengineo or maybe freedom fighting kama ilivyo kwa kina Rupia,Kahama nk.

Ni wazi mwalimu aliwa confuse si tu wananchi,bali hata wanafunzi wake.

Wewe hapo juu umetoa utafsiri wako binafsi kuwa mwalimu hakuchukua hatua yoyote kwasababu aliona ni bora kuokoa gharama za usafirishaji,that is a very naive approach i am afraid!

Mwalimu ali gave up a lot of things kwa sababu ya kusimamia yale anayoamini,sasa kuniambia kuwa gharama za usafiri zilisababisha mwalimu akaukumbatia ukabaila,basi then hiyo ndo tafsiri yako kanganyifu kama zilivyo tafsiri nyingi tu zinazohusiana na why this or that happened to this country etc.

Ukitumia akili zaidi,utaona kuwa mwalimu alipima akaona kuwa hawezi kuchonganishwa dhidi ya wanajeshi wake haswa ukizingatia kuwa kulishakuwa na dalili za uasi huko nyuma...Aliona consequences za kumnyang'anya labda zingekuwa mbaya zaidi ya kumwachia aendelee na biashara hiyo.....Same thing with ufisadi nowadays,viongozi wanaona consequences za kuwashughulikia mafisadi ni nyingi,wengine wanasema uchumi utayumba,nchi haitatawalika nk!

Kuna mwana JF aliyesema huko nyuma kuwa huwezi kuishona nguo uliyoivaa,ni lazima uivue kwanza....Solution ni revolution na si ku handpick vijistory ambavyo haviwezi kutusaidia especially ka utafsiri wetu wa issue ndo kama huu!

Na pia labda mwalimu alitizama nia ya mpeleka ujumbe nk,kusema ilikuwa ni gharama za usafirishaji ni kushindwa kufikiri kwa undani zaidi.

Kwa taarifa tu ni kwamba Sayore ulikuwa anatumia rasilimali za jeshi kufanikisha kilimo hicho.
 
Huyu JK sijui nani atampa adhabu kwa kosa alilowatenda watanzania kwa kutoa maoni yake binafsi kwenye bunge la katiba badala ya kuyatoa kwa wakati kwenye tume ya Warioba akidanganya anakwenda kuzindua bunge maalum la katiba!

JK mnafki hana mfano!
 
nope hakuna kitu kama hicho mkuu, jeshi siyo kama kampuni ambapo ukiona meneja wako hakusikiliza unaweza kwenda hata kwa CEO. Jeshi linaongozwa kwa chain of command na hadi hivi sasa hakuna mahali popote ambapo unaweza kutafuta ambapo panasema JK aliamini kuwa "level za chini haziwezi kumwajibisha Sayore". Hakuna - labda kama una infer tu kuwa kwa vile kaenda kwa Amiri jeshi mkuu.. tukikubali hivyo, Amiri Jeshi Mkuu attakuwa na kazi nyingi kweli kwani ukiondoa JWTZ kuna Polisi, Magereza, JKT na kila afisa ambaye hatoridhika na his immediate commanding officer basi akimbilie Ikulu. Hii ni hatari for unity and discipline ya jeshi.

Hoja ya Sayore kuwa fisadi inaweza kukubalika kabisa lakini kumlaumu Nyerere.. thats extremely overreaching..

Mkuu,

Mheshimiwa Rais wa awake ya tano amewataka wampelekee malalamiko yao alipomuweka na askari magereza.

Kaka ...
 
Kwa Tanzania ya sasa..Hakuna mwanasiasa anayemfikia JK kwa siasa

Kipindi hicho mkuu wa chuo alikuwa Gideon Sayore, Kikwete alikuwa ni mmoja wakufunzi wa siasa chuoni hapo.

Sasa ilikuwa hivi,
Mzee Sayore alikuwa anafuga ng'ombewengi pamoja kufanya shughuli za kilimo kwawingi wakati huohuo akiwa mkuu wa chuo cha kijeshi Monduli.

Hivyo basi baada ya kuona ng'ombe wanatoa maziwamengi mno na mazao yametapakaa mashambani,. akaamua kuwa awe analiuzia jeshi mazao kama vile maharage na mahindi pamoja na maziwa na nyama kutoka kwenye mifugo yake.......na pesa anachukua yeye mwenye mazo.

Aliendelea kufanya hivyokwa kipindi kirefu tu.. ikiwa ni kama sehemu yake ya maisha....

Sasa bwana ,,kumbe Kikwette (JK) ilikuwa inamuuma sana sana, yaani mno! sasa haieleweki kama ilikuwa kweli ni kwa uzalendo ua wivu tu....akaandika barua kwa raisi kipindi hicho JK Nyerere.

Katika barua hiyo akaandika lawama nyiingi mno na majungu mengi sana dhidi ya Sayore, akimwita bepari, bwenyenye, mnyonyaji n.k huku akisema hafai kuwa mkuu wachuo hicho kwakuwa navunja miiko ya uongozi na mambo mengine meengi (si mnamjua JK anavyojua kupiga fitna!)...

Basi bwana, akamalizia mwisho kwakujiandika jina lake na sahihi yake huku akijiita mzalendo kamili barua ikapostiwa ikiwa imeadresiwa kwa rais wa nchi wakati huo!......

Mwalimu, aliipata barua ile aliifungua akaisomaaaa kisha akapiga hesabu zake....sijui aliwaza nini mzee yule, akaihifadhi ile barua ikaa sana ofini kwake bila kuchukua uamuzi wowote.

Siku moja alipokuja mkuu wa majeshi wakati huo "General Mtukula" (David Musuguli) ofisini kwa Mwalimu eaisi kipindi hicho, mwalimu akampa ile barua kutoka kwa Kikwete "akisema hayo ni maMbo yenu kayamalizeni hukohuko".

Basi bwana ile barua Mkuu wa majeshi alikaa nayo muda hivi kwenye makabrasha yakee...., sasa siku mija alikuja Mkuu wa chuo cha kijeshi Monduli(Sayore) Dar es salaam kufanya shughuli za kikazi akaenda hadi ofisini kwa Mkuu wa majeshi.

Baada ya shughuli kwisha na Sayore akiwa anajiandaa kwenda Monduli Mkuu wa majeshi alimwita, akampa ile barua ya Kikwete aliyomwandikia rais!!....

Sayore akaisoomaaa we akashangaa mno!! na akafura kwa hasira yule mmasai...., akuliza mwalimu kasemaje? Akaambiwa mwalimu kasema yamalizeni wenyewe!!.... Akasema naam, na akaondoka na ile barua hadi Monduli...

Alipofika tu yule mmasai aliitisha kikao cha wakufunzi wote na wakuu wengine pale chuoni, wakati wanajikusanya kwenda kwenye chumba cha mkutano yeye aliamua kwenda kutoa copy ile barua ya Kikwete, kopi nyingi idadi sawa na wajumbe wa mkutano ule....

Alipoingia mkutanoni akawaona wakuu na wakufunzi wote wameketi wakimsubiri wajue alicho waitia,.. akaanza kwa kuwauliza..jamani kama kuna mtu ana matatizo, au anaona kuna jambo haliendi sawa anyooshe mkono na saemekinacho mkereketa......watu wote wakawa kimya huku wengine wakisema hamna mkuu akiwemo Kikwette!!!

Basi bwana, tumalizie mkasa huu wa mkwere...

Sayore akaanza kuwagawia zile nakala (copies) za ile barua ya Kikwete kwenda kwa rais akawagawia wooote including Kikwete!!! Huku yule mmasasi Sayore akiwa amefura kwa hasira, macho mekunduuu! Akagonga ngumi juu ya meza kwa hasira na kusema someni hiyo barua!! kisha akatoka na kusema anakuja muda si mrefu...

Hapo Kikwete akajua kifo chake kimefika, akikumbuka macho ya yuile mmasai! akatetemeka macho yakamtoka lip! kwa woga!.. na wenzie wakamwanzishia zogo mle ndani......

Alichokifanya ni kuondoka haraka pale kikaoni wenzie wakajua bado yupo chuoni, kumbe safari ya Dar ikawa imeanza...!! Jamaa alitembea uchochoroni kwa muda mrefu sana huku akiogo kabisa kuingia barabara ya kuu...

Mashuhuda wanasema yule bwana akaja kupanda lift ya gari za vyama vya ushirika maeneo ya USA RIVER, hakukumbuka kubeba mzigo wowote!! Just imagine kutoka Monduli hadi hapo jamaa aliteseka sana... lakini yeye hakujali, cha muhimu ilikuwa kusalimisha maisha yake......

Basi huo ndiyo ukawa mwisho wa JK Monduli,........... hukurudi akaja Dar na kupangiwa kazi nyingine na chama... lakini alikuwa anamlaani sana Nyerere eti kwanini alimfanyia vile!!

Hicho ndicho chanzo cha JK kumchukia mwalimu na kugoma katakata kumwita baba wa taifa hadi leo! Yeye humwita mzee Nyrere tu au mwalimu baasi...na mara chache akiwa nje ya nchi humwita 'Father of our Nation', lakini ni pale anapotaka kupigiwa makofi kwa nukuu za Mwalimu....

**Ndugu zangu hiki ni kisa cha ukweli kwa 100%, inawezekana uandishi wangu ukawa na upungufu, lakini niemekipata kutoka watu mbalimbali waliowahi kuwa karibu sana na mkasa huu...

Huwezi kuongoza taasisi ya umma na baadaye kufanya biashara na taasisi hiyo. Hapo Sayore alikiuka ethics za uongozi na vilevile misingi ya Ujamaa. Hivyo Kikwete alikuwa sahihi kabisa.
 
Ulikuwa Monduli wakati JK anaandika barua.
Ulikuwepo Dar wakati Nyerere anapokea barua na kuisoma.
Ulikuwepo Ikulu wakati Nyerere anampa barua Mkuu wa Majeshi
Ulikuwepo Ngome -wakati mkuu wa majeshi anampa barua Sayore
Ulikuwepo Monduli Sayore alipoitisha kikao
Ukamwona JK akitembea porini mpak USA river
Ukamwona akipata lift kwenye gari ya ushirika
Ulikuwepo alipofika Dar.....
 
H
Kipindi hicho mkuu wa chuo alikuwa Gideon Sayore, Kikwete alikuwa ni mmoja wakufunzi wa siasa chuoni hapo.

Sasa ilikuwa hivi,
Mzee Sayore alikuwa anafuga ng'ombewengi pamoja kufanya shughuli za kilimo kwawingi wakati huohuo akiwa mkuu wa chuo cha kijeshi Monduli.

Hivyo basi baada ya kuona ng'ombe wanatoa maziwamengi mno na mazao yametapakaa mashambani,. akaamua kuwa awe analiuzia jeshi mazao kama vile maharage na mahindi pamoja na maziwa na nyama kutoka kwenye mifugo yake.......na pesa anachukua yeye mwenye mazo.

Aliendelea kufanya hivyokwa kipindi kirefu tu.. ikiwa ni kama sehemu yake ya maisha....

Sasa bwana ,,kumbe Kikwette (JK) ilikuwa inamuuma sana sana, yaani mno! sasa haieleweki kama ilikuwa kweli ni kwa uzalendo ua wivu tu....akaandika barua kwa raisi kipindi hicho JK Nyerere.

Katika barua hiyo akaandika lawama nyiingi mno na majungu mengi sana dhidi ya Sayore, akimwita bepari, bwenyenye, mnyonyaji n.k huku akisema hafai kuwa mkuu wachuo hicho kwakuwa navunja miiko ya uongozi na mambo mengine meengi (si mnamjua JK anavyojua kupiga fitna!)...

Basi bwana, akamalizia mwisho kwakujiandika jina lake na sahihi yake huku akijiita mzalendo kamili barua ikapostiwa ikiwa imeadresiwa kwa rais wa nchi wakati huo!......

Mwalimu, aliipata barua ile aliifungua akaisomaaaa kisha akapiga hesabu zake....sijui aliwaza nini mzee yule, akaihifadhi ile barua ikaa sana ofini kwake bila kuchukua uamuzi wowote.

Siku moja alipokuja mkuu wa majeshi wakati huo "General Mtukula" (David Musuguli) ofisini kwa Mwalimu eaisi kipindi hicho, mwalimu akampa ile barua kutoka kwa Kikwete "akisema hayo ni maMbo yenu kayamalizeni hukohuko".

Basi bwana ile barua Mkuu wa majeshi alikaa nayo muda hivi kwenye makabrasha yakee...., sasa siku mija alikuja Mkuu wa chuo cha kijeshi Monduli(Sayore) Dar es salaam kufanya shughuli za kikazi akaenda hadi ofisini kwa Mkuu wa majeshi.

Baada ya shughuli kwisha na Sayore akiwa anajiandaa kwenda Monduli Mkuu wa majeshi alimwita, akampa ile barua ya Kikwete aliyomwandikia rais!!....

Sayore akaisoomaaa we akashangaa mno!! na akafura kwa hasira yule mmasai...., akuliza mwalimu kasemaje? Akaambiwa mwalimu kasema yamalizeni wenyewe!!.... Akasema naam, na akaondoka na ile barua hadi Monduli...

Alipofika tu yule mmasai aliitisha kikao cha wakufunzi wote na wakuu wengine pale chuoni, wakati wanajikusanya kwenda kwenye chumba cha mkutano yeye aliamua kwenda kutoa copy ile barua ya Kikwete, kopi nyingi idadi sawa na wajumbe wa mkutano ule....

Alipoingia mkutanoni akawaona wakuu na wakufunzi wote wameketi wakimsubiri wajue alicho waitia,.. akaanza kwa kuwauliza..jamani kama kuna mtu ana matatizo, au anaona kuna jambo haliendi sawa anyooshe mkono na saemekinacho mkereketa......watu wote wakawa kimya huku wengine wakisema hamna mkuu akiwemo Kikwette!!!

Basi bwana, tumalizie mkasa huu wa mkwere...

Sayore akaanza kuwagawia zile nakala (copies) za ile barua ya Kikwete kwenda kwa rais akawagawia wooote including Kikwete!!! Huku yule mmasasi Sayore akiwa amefura kwa hasira, macho mekunduuu! Akagonga ngumi juu ya meza kwa hasira na kusema someni hiyo barua!! kisha akatoka na kusema anakuja muda si mrefu...

Hapo Kikwete akajua kifo chake kimefika, akikumbuka macho ya yuile mmasai! akatetemeka macho yakamtoka lip! kwa woga!.. na wenzie wakamwanzishia zogo mle ndani......

Alichokifanya ni kuondoka haraka pale kikaoni wenzie wakajua bado yupo chuoni, kumbe safari ya Dar ikawa imeanza...!! Jamaa alitembea uchochoroni kwa muda mrefu sana huku akiogo kabisa kuingia barabara ya kuu...

Mashuhuda wanasema yule bwana akaja kupanda lift ya gari za vyama vya ushirika maeneo ya USA RIVER, hakukumbuka kubeba mzigo wowote!! Just imagine kutoka Monduli hadi hapo jamaa aliteseka sana... lakini yeye hakujali, cha muhimu ilikuwa kusalimisha maisha yake......

Basi huo ndiyo ukawa mwisho wa JK Monduli,........... hukurudi akaja Dar na kupangiwa kazi nyingine na chama... lakini alikuwa anamlaani sana Nyerere eti kwanini alimfanyia vile!!

Hicho ndicho chanzo cha JK kumchukia mwalimu na kugoma katakata kumwita baba wa taifa hadi leo! Yeye humwita mzee Nyrere tu au mwalimu baasi...na mara chache akiwa nje ya nchi humwita 'Father of our Nation', lakini ni pale anapotaka kupigiwa makofi kwa nukuu za Mwalimu....

**Ndugu zangu hiki ni kisa cha ukweli kwa 100%, inawezekana uandishi wangu ukawa na upungufu, lakini niemekipata kutoka watu mbalimbali waliowahi kuwa karibu sana na mkasa huu...
Kali hii
 
Back
Top Bottom