Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
hakika historia ni somo zuri sana. huyo ndiye JK tunayemjua..... asingekimbia yangemtokea puani.
Hilo ni wazi kabisa ni mtu wa kuyaona mambo ila kuyaweka hadharani hawezi kabisa na ndio mpaka leo ni mtu wa kuyaweka majungu na kuyafanyia kazi ni bure khaaaaa hiyo ni aibuuuuu sana. yeye sia alikuwa Mjeda basi angeyakabili kijeda sasa kumbe ule woga anao mpaka huku yeye ni rais??