Ni halali katika zama zake, hakukuwa na sheria iliyokataza hilo.
ni wazi hujalisoma Azimio la Arusha, hakuna mahali ambapo azimio lilikataza hilo.
`
Azimio la arusha lilikataza kuchanganya biashara na utumishi wa umma. Mtu mwenye pesa ilikuwa ni number one disqualification.