jailos mrisho
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 647
- 1,360
Heee...!! Huwa nawashangaa watz wanaowashabikia wapinzani haswaa chadema..leo hii nawe unakuja kusema jk alikuwa anajiamn kwamba unamkubali..mfyuu hv nyie mna shida gani? Yaan kati ya vyama vilivyokuwa na watu mazezeta nazani ni chadema..nyie c ndo mlimwita rais dhaifu!? Mtu dhaifu huwa anajiamn yeleuwiiii...ngachokaaa..sijawah ona watu wa aina hii duniani..yaan wanakula matapish yaoo..aiseee chadema nimeam ni genge la magaidi.JK Kiongozi anyejiamini
Waliomfuata baada yake wako very insecure
Mmoja akaamuru Lissu amiminiwe risasi auawe
Mwingine kampa Mbowe kesi ya Ugaidi
Yaani wanatumia miguvu miiingi badala ya kujibu hoja kwa hoja