Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,735
- 6,281
Enzi za JK kulikuwa kunaibuka Agenda tata sana mwenyewe anasafiri zake kama mwezi watu wanaongea wanapambana wao kwa wao kila mtu anakuwa na mtizamo wake. Siku anarejea waandishi kibao airport wanamuuliza Mh hili suala vipi anawajibu hata mwenyewe ndo nalisikia saa hii
Dah nimemkumbuka Mzee Jakaya sometime alikuwa anaepusha shari kwa usanii tu, kumbe anawachora tu . Sisi wengine kinatushinda nini tukisemwa na kukosolewa tunachukia kabisa na kuamua kupotezana kabisa.
Dah nimemkumbuka Mzee Jakaya sometime alikuwa anaepusha shari kwa usanii tu, kumbe anawachora tu . Sisi wengine kinatushinda nini tukisemwa na kukosolewa tunachukia kabisa na kuamua kupotezana kabisa.