Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Kuuliza siyo ujinga.
mkuu nakuunga mkono unajua Pinda amekuwa kama msukule tuuu anapelekwapelekwa tuu! LOWASA ni mchapakazi mzuri ila WIZI! jizi kishenzi!Lowasa ana matatizo yake ya kuchakachua mahela ya wananchi fasta fasta, lakini ni mtendaji mzuri kuliko Pinda-Anagalia kipindi chake wakurugenzi wa halmashauri mbofumbofu walivyokuwa na wakati mgumu, sasa hivi jamaa wana kwiba bila aibu na maendeleo hakuna!
Nadhani bila mafisadi nchi hii haitakuwepo, hayo ndio mawazo ya watu wa rangi ya kijani, kwao rushwa ni mpaka kwa balozi wa nyumba kumi kumi.
nawezekana ni mchapa kazi illeee si unajua yeye na Jk walikuwa wakipigana vikumbo wanapotembelea wilaya zenye ma-DC kama yule aliyemteua hivi karibuni wanajuana kwa ''uchapa kazi" wao
Lowasa ana matatizo yake ya kuchakachua mahela ya wananchi fasta fasta, lakini ni mtendaji mzuri kuliko Pinda-Anagalia kipindi chake wakurugenzi wa halmashauri mbofumbofu walivyokuwa na wakati mgumu, sasa hivi jamaa wana kwiba bila aibu na maendeleo hakuna!
Kuchapa kazi anachapa aswaaa huko kwao kwani kukoje?ye si mbunge bwana wa monduli au?