Mwana wa Mungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2008
- 1,003
- 80
Jamani, naomba kuuliza kwa wale wanaofahamu maana halisi ya "MAALIM", kwasababu kwa wale waliomsikiliza kikwete, aliitaja hiyo Maalim kiushabiki fulani hivi sasa mimi sikumuelewa. sina maana mbaya lakini kutu kinachonifanya niwe na dukuduku lazima nikiseme...kwasababu kwa kuongea kauli ile, ilionyesha kama vile anafanya ushabiki wa kidini vile...kuna mtu aliisikia vizuri ile kauli jamani? ili tumrekebishe huyu Rais aliyepitishwa na ccm?