Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,326
Ukimsikiliza JK ni kweli alikuwa Rais bora sana.. alitufanya raia tujione tunawajibu na taifa hili kwa kukubali kutupa uhuru wa kuchagua na kuwajibisha viongozi.
Napenda anavyo zungumzia rule of law. Na anaonekana alitamani sana taasisi ndio ziwajibike badala ya kauli ya rais.
JK wasikubeze , utakuja kukumbukwa.
Kuwa uwezekano tukaingia kwenye crisis moja kali sana
Napenda anavyo zungumzia rule of law. Na anaonekana alitamani sana taasisi ndio ziwajibike badala ya kauli ya rais.
JK wasikubeze , utakuja kukumbukwa.
Kuwa uwezekano tukaingia kwenye crisis moja kali sana