Kikwete alikuwa anafaa sana kuwa waziri wa mambo ya nje

This is the best president ever for TANZANIA. Heri yeye anatalii, sasa wakuiba wake za watu je? si heri azurure badala ya kuvamia wake za watu kwenye mabaa, haa padri?
Nadhani hapa umemsahau best prezdaa wako jinsi anavyomiliki wanawake mashangingi kila kona ya mjini tena makahaba mpaka amefikia hatua ya kuwapa vyeo Kila anapopendezwa naye.Kumbuka kuwa padre alishaacha kazi hiyo na alikwenda kumwoa mwanamke aliyeachika na hakuwa mke wa mtu acha unazi wako wa kulelewa kambini kwa msaada wa nyerere
 
Kutokana na Rais kufikisha safari zaidi ya 310 nje ya nchi nashawishika kusema kuwa huyu jamaa wizara hii ilimfaa sana namheshimu Brother Ben kwa kumpa hii maana anaitumikia mpaka sasa na sijui raisi wa nchi ni nani hasa kwa sasa maana kama makamu wa rais hawezi kushika kiti chake anaishia kukata utepe tu na kuzunguka na wake zake Wawili na huku mzee wa vilio vya albino bungeni akionekana kuachiwa madaraka amabayo hawezi kuyatolea maamuzi na mpaka apige simu apewe maelekezo na hakuna wa kuweza kuchukua hatua kulingana na sheria za nchi!

Kweli sidhani kama hapa nina Rais bali tunaye mtalii au waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa ambaye nafasi yake bado anaipenda na amegundua kuwa urasis kwake hauna thaman maana nchi inaongozwa na mapacha watatu na yeye yuko pale kama Nduvule tu hivyo masilahi anayojifariji nayo no kuzurura kila nafasi mpaka napata mashaka kuwa kazi ya Benard Mende ni nini.
Wala!!! Kwa uzoefu aliounyesha katika kipindi cha urahisi miye naungana na LIPUMBA anafaa zaidi kuwa mwenyekiti wa Miss Tanzania. Huko njee ni aibu tu!!
 
Wala!!! Kwa uzoefu aliounyesha katika kipindi cha urahisi miye naungana na LIPUMBA anafaa zaidi kuwa mwenyekiti wa Miss Tanzania. Huko njee ni aibu tu!!
Nadhani hata huko watagombana na Hashimu Lundenga na pia anaweza kuwapitia mamiss wote kabla ya kufanya maamuzi
 
Nadhani hapa umemsahau best prezdaa wako jinsi anavyomiliki wanawake mashangingi kila kona ya mjini tena makahaba mpaka amefikia hatua ya kuwapa vyeo Kila anapopendezwa naye.Kumbuka kuwa padre alishaacha kazi hiyo na alikwenda kumwoa mwanamke aliyeachika na hakuwa mke wa mtu acha unazi wako wa kulelewa kambini kwa msaada wa nyerere

Bwana hacheni majungu. Prezidaa anajaza Afrika. mnassau waafrika tulisukuwa utumwani... Mwacheni prezidaa azae bwana, rais mzima, hamjui moja ya watoto wake kule mtongani atakuwa prezidaa naye.... mwanamme wa shoka anazambaza mbegu bora. tulieni
 
Raisi wangu kikwete tunakupenda sana na ndio maana ulipotaka uraisi mwaka 2005 ulishinda kwa kishindo sana na hatujui watanzania kwa nini tulikupa kura nyingi vile.ila uraisi uliotaka umekushinda nchi imesimama kwa kila kitu mambo hayaendi watu wanasononeka mno,ingekuwa umeweza kusoma alama za nyakati tungesema jiondoe mwenyewe ila hilo haliwezekani. Watanzania hivi tuanhitaji uchunguzi wa nini kumchunguza JAIRO wakati kila kitu kipo hadharani?tunajua JAIRO ni swahiba wako mno na ndio maana ulimpa cheo cha kuwa msaidizi wako ulipoingia madarakani kwa mara ya kwanza kwa hiyo huwezi kumuumbua best friend wako, uswahiba unatuharibia nchi yetu, tumechoka sasa, this is too much Mr. president.Mtu anasimamishwa kazi kwa malipo????????????ikija kuonekana ana hatia itakuwaje?atarudisha fedha zetu? mbona watumishi wengine wa umma hawajawahi kuambiwa hivyo?Mzee mwinyi aliwahi kuwastafisha kwa manufaa ya umma maafisa ardhi wa DAR ES SALAAM walipohusika kuuza kiwanja kibasila pale.Watanzania sasa tuamke huyu jamaa aende tu na maandamano ya nchi kama za misri yalianzia kwenye mitandao ya kijamii kama hivi. Watanzania tuache kulalamika chini chini mambo ya ndio mzee yashapitwa na wakati, tuonyeshe hisia zetu sasa. mimi nasema hata WANACHAMA WA CCM hili wanaliona watakaopinga hii thread ni watanzania ila wamelogwa na mganga wao kafa, tunajua hatuwezi kuwa na itikadi zinazofanana ila kwa hili ni kwa ajili ya maslahi ya taifa letu, nchi inakwenda pabaya watoto wetu watakuta kitu gani? NANI wa kutukuordinate watanzania tuingie ROAD? wakifanya chadema hiyo organization itaonekana ni maandamano yao yale ya kawaida yatabezwa. nalileta kwenu wanajamii nini kifanyike kama walivyofanya misri, na nchi zingine zilizoweza kusema sasa basi mr. president?TUNAINGIAJE BARABARANI NDIO SWALI LANGU KUBWA? kwa kuwa naamini watanzania wengi wanasononeka moyoni ni wakati mzuri sasa kuonyesha hisia zetu kwa nje.
 
Daa wewe unazania bado unanchi dunia hii nchi zote viongozi wanachezesha karata tatu. Kila unapoweka kete yako umeliwa
 
Bwana hacheni majungu. Prezidaa anajaza Afrika. mnassau waafrika tulisukuwa utumwani... Mwacheni prezidaa azae bwana, rais mzima, hamjui moja ya watoto wake kule mtongani atakuwa prezidaa naye.... mwanamme wa shoka anazambaza mbegu bora. tulieni
Atamjuaje wakati ni yeye ni baab huruma sibagui sichagui akayenizika simjui! Na wala condom yeye hazimhusu maana huwa anawapima mademu wake kwa macho kuwa huyu ni mzima kulingana na afya yake. Na pia kitanda hakizai haramu
 
Kama siku 310 ni safari za kutoka, vipi muda aliokaa nje na nchi hii! Ina maana kuwa kati ya miaka aliyo madarakani kuna mwaka mmoja hakuwahi ishi Tanzania. Maana Mwaka mmoja unasiku 366.

siku 366 - 310 = 56 days

56days = muda aliokuwa nje ya nchi Minus siku alizopanda ndege(310days).

HII HATARI:

Kila trip moja Approx. Tzs.20,000,000 x 310 = Tzs.6,200,000,000.00. Kazi ipo.

Mkuu it could be more than that, kwani siku ile ya kusafiri mara nyingi inakuwa a day kabla ya tukio lililompeleka huko na kuondoka siku baada kwa hiyo kila safari yake ni average ya siku 3. Total days out of the country ni almost 3 years au siku 930. Kuna uwezekano wa kuwa hata zaidi ya hapo.
 
Raisi wangu kikwete tunakupenda sana na ndio maana ulipotaka uraisi mwaka 2005 ulishinda kwa kishindo sana na hatujui watanzania kwa nini tulikupa kura nyingi vile.ila uraisi uliotaka umekushinda nchi imesimama kwa kila kitu mambo hayaendi watu wanasononeka mno,ingekuwa umeweza kusoma alama za nyakati tungesema jiondoe mwenyewe ila hilo haliwezekani. Watanzania hivi tuanhitaji uchunguzi wa nini kumchunguza JAIRO wakati kila kitu kipo hadharani?tunajua JAIRO ni swahiba wako mno na ndio maana ulimpa cheo cha kuwa msaidizi wako ulipoingia madarakani kwa mara ya kwanza kwa hiyo huwezi kumuumbua best friend wako, uswahiba unatuharibia nchi yetu, tumechoka sasa, this is too much Mr. president.Mtu anasimamishwa kazi kwa malipo????????????ikija kuonekana ana hatia itakuwaje?atarudisha fedha zetu? mbona watumishi wengine wa umma hawajawahi kuambiwa hivyo?Mzee mwinyi aliwahi kuwastafisha kwa manufaa ya umma maafisa ardhi wa DAR ES SALAAM walipohusika kuuza kiwanja kibasila pale.Watanzania sasa tuamke huyu jamaa aende tu na maandamano ya nchi kama za misri yalianzia kwenye mitandao ya kijamii kama hivi. Watanzania tuache kulalamika chini chini mambo ya ndio mzee yashapitwa na wakati, tuonyeshe hisia zetu sasa. mimi nasema hata WANACHAMA WA CCM hili wanaliona watakaopinga hii thread ni watanzania ila wamelogwa na mganga wao kafa, tunajua hatuwezi kuwa na itikadi zinazofanana ila kwa hili ni kwa ajili ya maslahi ya taifa letu, nchi inakwenda pabaya watoto wetu watakuta kitu gani? NANI wa kutukuordinate watanzania tuingie ROAD? wakifanya chadema hiyo organization itaonekana ni maandamano yao yale ya kawaida yatabezwa. nalileta kwenu wanajamii nini kifanyike kama walivyofanya misri, na nchi zingine zilizoweza kusema sasa basi mr. president?TUNAINGIAJE BARABARANI NDIO SWALI LANGU KUBWA? kwa kuwa naamini watanzania wengi wanasononeka moyoni ni wakati mzuri sasa kuonyesha hisia zetu kwa nje.
Chumvini umeongea kwa uchungu sana kiasi kwamba huyu jamaa kama angelikuwa msikivu angelisoma alama za nyakati na kujiondokea zake kwa heshima maana kila kukicha ni afadhali ya jana maana yanaibuka mapya kila siku na yeye anajipa moyo bado ni rais wa Tanzania.
 
Daa wewe unazania bado unanchi dunia hii nchi zote viongozi wanachezesha karata tatu. Kila unapoweka kete yako umeliwa
Mkuu hapo umenena na sheria ya kamari ya karata tatu ukila wewe hauruhusiwi kuondoka na kile kidogo ulichopata lazima wahakikishe wanakula wao wachezeshaji kwa kifupi tumelala
 
tuingie mtaani jamani hivi bado tunasubiri nini? Ni kweli Jairo ni rafiki yake mkubwa sana. na uchunguzi hata sijui ni wanini zaidi ya kupoteza muda ili watu wasahau yanayoendelea. jamani kweli marais wote tz hiki ni kimeo tulikipata kuzidi wote.
 
Mkuu it could be more than that, kwani siku ile ya kusafiri mara nyingi inakuwa a day kabla ya tukio lililompeleka huko na kuondoka siku baada kwa hiyo kila safari yake ni average ya siku 3. Total days out of the country ni almost 3 years au siku 930. Kuna uwezekano wa kuwa hata zaidi ya hapo.
Na kuna wakati anazidisha hata hizo tatu na usisahau kuwa kila anapokwenda huwa anaambatana na kundi la watu na hao wote wanalipiwa kila kitu na serikali halafu Badra Masoud wa Tanesco anakwambia serikali haina hela ya kuwekeza kweye umeme? Utani huu!
 
Jamani ee! Nairudisha Thread hewani kama ifuatavyo jamaa yetu Vasco Da Gamma II yupo mbioni kuelekea Namibia kututafutia mafuta, umeme wetu na majengo na magari mengi kama Dubai
 
Kuwa waziri wa mambo ya nje haina maana kuwa mzururaji. Huyu jamaa ni picha kamili ya jinsi CCMagamba walivoishiwa viongozi.
 
Kama siku 310 ni safari za kutoka, vipi muda aliokaa nje na nchi hii! Ina maana kuwa kati ya miaka aliyo madarakani kuna mwaka mmoja hakuwahi ishi Tanzania. Maana Mwaka mmoja unasiku 366.

siku 366 - 310 = 56 days

56days = muda aliokuwa nje ya nchi Minus siku alizopanda ndege(310days).

HII HATARI:

Kila trip moja Approx. Tzs.20,000,000 x 310 = Tzs.6,200,000,000.00. Kazi ipo.
umekosea hesabu,safari moja ya Raisi ni zaidi ya millioni 500 zinazidi lakini hazipungui.
 
Raisi wangu kikwete tunakupenda sana na ndio maana ulipotaka uraisi mwaka 2005 ulishinda kwa kishindo sana na hatujui watanzania kwa nini tulikupa kura nyingi vile.ila uraisi uliotaka umekushinda nchi imesimama kwa kila kitu mambo hayaendi watu wanasononeka mno,ingekuwa umeweza kusoma alama za nyakati tungesema jiondoe mwenyewe ila hilo haliwezekani. Watanzania hivi tuanhitaji uchunguzi wa nini kumchunguza JAIRO wakati kila kitu kipo hadharani?tunajua JAIRO ni swahiba wako mno na ndio maana ulimpa cheo cha kuwa msaidizi wako ulipoingia madarakani kwa mara ya kwanza kwa hiyo huwezi kumuumbua best friend wako, uswahiba unatuharibia nchi yetu, tumechoka sasa, this is too much Mr. president.Mtu anasimamishwa kazi kwa malipo????????????ikija kuonekana ana hatia itakuwaje?atarudisha fedha zetu? mbona watumishi wengine wa umma hawajawahi kuambiwa hivyo?Mzee mwinyi aliwahi kuwastafisha kwa manufaa ya umma maafisa ardhi wa DAR ES SALAAM walipohusika kuuza kiwanja kibasila pale.Watanzania sasa tuamke huyu jamaa aende tu na maandamano ya nchi kama za misri yalianzia kwenye mitandao ya kijamii kama hivi. Watanzania tuache kulalamika chini chini mambo ya ndio mzee yashapitwa na wakati, tuonyeshe hisia zetu sasa. mimi nasema hata WANACHAMA WA CCM hili wanaliona watakaopinga hii thread ni watanzania ila wamelogwa na mganga wao kafa, tunajua hatuwezi kuwa na itikadi zinazofanana ila kwa hili ni kwa ajili ya maslahi ya taifa letu, nchi inakwenda pabaya watoto wetu watakuta kitu gani? NANI wa kutukuordinate watanzania tuingie ROAD? wakifanya chadema hiyo organization itaonekana ni maandamano yao yale ya kawaida yatabezwa. nalileta kwenu wanajamii nini kifanyike kama walivyofanya misri, na nchi zingine zilizoweza kusema sasa basi mr. president?TUNAINGIAJE BARABARANI NDIO SWALI LANGU KUBWA? kwa kuwa naamini watanzania wengi wanasononeka moyoni ni wakati mzuri sasa kuonyesha hisia zetu kwa nje.
wala usipate shida,nenda kwenye kijiwe kimojawapo kaa na bango lako kwa dakika chache tu,watu watakuja ndivyo tunavyokusanya watu.
 
Kama siku 310 ni safari za kutoka, vipi muda aliokaa nje na nchi hii! Ina maana kuwa kati ya miaka aliyo madarakani kuna mwaka mmoja hakuwahi ishi Tanzania. Maana Mwaka mmoja unasiku 366.

siku 366 - 310 = 56 days

56days = muda aliokuwa nje ya nchi Minus siku alizopanda ndege(310days).

HII HATARI:

Kila trip moja Approx. Tzs.20,000,000 x 310 = Tzs.6,200,000,000.00. Kazi ipo.

mpendwa,

hesabu zako hizi si halisi. kama amesafiri mara 310 basi amekishi nje ya nchi zaidi ya siku hizo 310 kwa sababu kuna ziara nyingine huchukua zaidi ya wiki moja na nakumbuka kuna moja ilivunja rekodi mwaka 2006 au 2007 kama sikosei ilichukua siku zaidi ya 20!

kuhusu mahesabu yako, nakumbuka wakati rais mstafu mkapa alipokuwa akishiriki kusuluhisha mgogoro wa kenya, ilielezwa bungeni na mh. hawa ghasia kuwa zaidi ya sh. bilioni 2!

sasa kama rais mstaafu alitumia takriban tsh 2 bil kwenda hapo jirani tu (kenya) kwa safari zisizozidi tano alizozifanya, rais mwenyewe mwenye msafara mkubwa zaidi na mbwembwe nyingi zaidi anawezaje kutumia sh. 20 milioni pekee kwa safari moja kama ya afrika kusini (kwa mfano)?

mi naamini kuwa kwaa vyovyote vile, safari yake moja nje ya afrika mashariki, haipungui 1 bilion!! labda kama sio ziara bali ya dharura tu ya kwenda na kurudi siku hiyo hiyo, lakini kama ni kuhudhuria mkutano au ziara, haipungui hapo mkuu

wenye kujua zaidi watanisahihisha

mbarikiwe wapendwa
 
definitely this is not the type of president we wanted. ila sioni kama anakosea sana, maana hata angejifungia ikulu simuoni kama mtu mwenye kutufanyia uamuzi wa mwisho katika mambo mengi ya msingi...ni bora akatembea tembea kama kisingizio cha kuchelewesha maamuzi pia nnaamini bora mtembea bure kuliko mkaa bure...
-Magufuli apewe nchi uone kama hamjaongoza kwa uchumi southern Sahara... hii nchi haiihitaji tena siasa wala kiongozi, anatakiwa mtendaji..
 
Back
Top Bottom