Kikwete alienda Ujerumani lini?

Hizo ambazo hazijatangazwa, mie wala sina haja ya kuzijuwa.

Ni vizuri kama muda mwingine unaamua kukaa kimya kuliko kukurupuka kama hivyo. Nimekutoa kwenye listi yangu ya watu makini,though you have nothing to loose!
 
Ni vizuri kama muda mwingine unaamua kukaa kimya kuliko kukurupuka kama hivyo. Nimekutoa kwenye listi yangu ya watu makini,though you have nothing to loose!

Hahahahahaha umenichekesha sana mkuu, kwa kweli nadhani kuna wenzetu wengine tuwasamehe maana ni wavivu wa kufikiri, nami namtoa huyu Zomba na yule Hasara sintosoma michango yao yeyote, hawana chakupoteza ingawa....
 
Ni vizuri kama muda mwingine unaamua kukaa kimya kuliko kukurupuka kama hivyo. Nimekutoa kwenye listi yangu ya watu makini,though you have nothing to loose!

Umetumwa? kwanza wewe kama nani hata hicho kilisti chako kinishtuwe? eboo.
 
Hahahahahaha umenichekesha sana mkuu, kwa kweli nadhani kuna wenzetu wengine tuwasamehe maana ni wavivu wa kufikiri, nami namtoa huyu sintosoma mchango wake wowote, hana chakupoteza ingawa....

Ndio walewale utafikiri niliwaambia wanisome, chuki tuu, na tunajuwa kwa nini wala hamtushtiwi hata kidogo, tunadunda. Mtasema mtachoka na usiku mtalala , heheeeeeeeeeeeeeeeee, heheheheeee, mambooo.
 
Ushahidi ni copy ya speeches...courtesy of the White House website http://www.whitehouse.gov/news/releases/2008/02/20080217-6.html

For Immediate Release
Office of the Press Secretary
February 17, 2008

Remarks by President Bush and President Kikwete of Tanzania in An Exchange of Toasts
State House
Dar es Salaam, Tanzania



White House News
Photos


Africa Trip 2008


6:58 P.M. (L)

PRESIDENT KIKWETE: Distinguished invited guests, ladies and gentlemen. It's not time for speeches, because I think we spoke enough the whole day, in the morning, later in the afternoon. It's time for dinner, it's time for us to enjoy after this long and hard, arduous day.

All that I wanted to say is, once again, thank you very much for honoring us with this great visit. It's a great honor for us. You have made us proud. It's a visit that has reaffirmed the longstanding bonds of friendship and cooperation between the United States of America and the United Republic of Tanzania. So your coming here certainly cements these friendly relations.

So it is quite a pleasure for me, on behalf of the government and the people of the United Republic of Tanzania, to propose a toast: To your good health, and the good health of Madame Laura Bush, to the friends cementing and blossoming of the friendship between the United States of America and the United Republic of Tanzania.

(A toast is offered.)

PRESIDENT BUSH: Mr. President, thank you very much, sir, for your gracious and warm hospitality. Madame, thank you very much. Mr. President, thank you for coming back from Germany today, Laura and I are touched. This has been a spectacular trip. It's not over, because tomorrow we're going to tour more of your country.

PRESIDENT KIKWETE: You'll be --

PRESIDENT BUSH: I'll be -- (laughter.) But I must say that our trip here has exceeded my expectations. I knew you were an accomplished government. After all, you've dramatically reduced malaria. You're in the process of dramatically reducing HIV/AIDS. My country has awarded you the largest Millennium Challenge Grant ever in the history of our nation, all because your government is committed to honest, decent government for the people.

I have been extremely touched, as has Laura, by the outpouring of support by the great people of Tanzania. And so, Mr. President, I too would like to propose a toast: To you and your family, to the people of Tanzania, and to our friendship, may it be long lasting.

(A toast is offered.) (Applause.)

END 7:02 P.M. (L)
 
Hivi Rais angepata ajali au tukio lolote baya kutokea na kumsababishia kurudi Watanzania wangeelewa? Hii habari ya yeye kwenda Ujerumani niliandika wiki kadhaa nilipoibua sakata la ATC. Serikali kumpa Karume aongoze msafara kule Ujerumaini ilikuwa danganya toto.. Waandishi hawana budi kuuliza "Inakuwaje Rais atoroke kimya kimya"...

Nadhani umesahau msemo wa kiswahili "ajali haina kinga" hata ukienda chooni unaweza kupata ajali.
 
Ni vizuri kama muda mwingine unaamua kukaa kimya kuliko kukurupuka kama hivyo. Nimekutoa kwenye listi yangu ya watu makini,though you have nothing to loose!

ha hah ha ahhh ahahh ha,

kumbuka pia mkuu kuna function ya Ku-ignore watu hapa.... hii itakupungunzia mengi mkuu!
 
Ndio walewale utafikiri niliwaambia wanisome, chuki tuu, na tunajuwa kwa nini wala hamtushtiwi hata kidogo, tunadunda. Mtasema mtachoka na usiku mtalala , heheeeeeeeeeeeeeeeee, heheheheeee, mambooo.

Hahahahahah mkuu katika kurekebishana tu, lazima tukubali kukubaliana na mawazo ya wengine teheteheteh kata issue Zomba, nisamehe tusameheane....ndo uungwana
 
Hivi Rais angepata ajali au tukio lolote baya kutokea na kumsababishia kurudi Watanzania wangeelewa? Hii habari ya yeye kwenda Ujerumani niliandika wiki kadhaa nilipoibua sakata la ATC. Serikali kumpa Karume aongoze msafara kule Ujerumaini ilikuwa danganya toto.. Waandishi hawana budi kuuliza "Inakuwaje Rais atoroke kimya kimya"...
Hayo maswali na maoni yako yatapendeza kama utaweza kufanya maongezi na prez kwenye radio yako
 
Mr. President, thank you for coming back from Germany today, Laura and I are touched. This has

Halafu Mzee Bush mwenyewe hata hajui kwamba anamwaga mchele kwenye kuku wengi.Yaani yeye kutokana na transparency zao hata hakutegemea kwamba rais anaweza ku sneak out kihuni kama hivi.
 
Halafu Mzee Bush mwenyewe hata hajui kwamba anamwaga mchele kwenye kuku wengi.Yaani yeye kutokana na transparency zao hata hakutegemea kwamba rais anaweza ku sneak out kihuni kama hivi.

Niliwatizama wale waliokuwa pale na hasa wafanyakazi wa ikulu jinsi midomo ilivyowafunguka! hili ilikuwa ni kumwaga kuku wengi kwenye mchele kiduchu!
 
kweli sasa muungwana hanapa kukimbilia,hivi inamaana ana yeye alikuwa anafanya supries visit ya nini tena uko ujerumani au ndio anawaiga wakina bush wanavyokwendaga irak na kwa osama.au ndio mchezo wake baada ya wananchi kupiga kelele sana na utalii wake.
 
kweli sasa muungwana hanapa kukimbilia,hivi inamaana ana yeye alikuwa anafanya supries visit ya nini tena uko ujerumani au ndio anawaiga wakina bush wanavyokwendaga irak na kwa osama.au ndio mchezo wake baada ya wananchi kupiga kelele sana na utalii wake.

Nimesema kuwa kuna skandali nyingine hapa inaanza kujitokeza tartiiiiiiiiibuuuuu.... watch this thread!
 
Ala, huyu jamaa vipi? Kumbe alitutoroka na kwenda Ujerumani? Huko kuna nini?
Kuna jambo zito lipi ambalo lisingeweza kusubiri hii ziara ya Kichaka ipite kwanza? Halafu, mbona wananchi tunafichwa?
 
Kuna maswali kadhaa kama Kalamu unavyoashiria:

a. Ni kitu gani kilimfanya Rais Kikwete kuondoka kwenda Ujerumani kwa masaa machache na kurudi? Ni suala la kiserikali, tiba, kunywa chai, au kwenda kupumzika kidogo?

b. Hata kama ingekuwa ni ziara ya kificho, kwanini wananchi hawakuambiwa wakati ilikwishajulikana kuwa ziara yake ya Airbus ilishapangwa? Kwanini ilifanywa kificho?

c. Kama Rais anaweza kuruka na ndege yake kwa haraka "kwenda na kurudi" Je inawezekana kuwa kuna wakati huko nyuma ambako Rais aliamua kwenda kuonana na mtu "Uarabuni" na kulala huko halafu akaamka na kunywa chai Dar?

Usiri mwingine si wa lazima! Wangesema tu Rais amekimbia kidogo Ujerumani atarudi asubuhi... sasa kufichana hivi manake nini. Mtaambiwa ni kwa sababu za Usalama!
 
Halafu Mzee Bush mwenyewe hata hajui kwamba anamwaga mchele kwenye kuku wengi.Yaani yeye kutokana na transparency zao hata hakutegemea kwamba rais anaweza ku sneak out kihuni kama hivi.

Inanikumbusha trip za Bush kwenda Iraq..si unajua wananchi wanaambiwa akiwa njiani kurudi nyumbani...
Ila Bush kanifurahisha sana kwenye hilo swala he he I bet mastaff wa Ikulu na JK mwenyewe walitamani Ardhi ipasuke.
 
Hivi huyu JK yeye anatuonaje sisi walipa Kodi? Hebu fikiria rais mzima anajificha kama mwizi wa kuku?

Mambo yake yamekaa kishkaji kila wakati na WTZ hatuwezi kuchukua huu uozo awamu ijayo, anafuja pesa ya walipa kodi pasipo sababu yoyote. Swala la kuchagua au kuangalia ndege ambayo wanaopanda hata hawafiki nusu ya WTZ. Absolutely stupid.

Wabunge ni lazima waridhie jambo hili.
 
Mr. President, thank you very much, sir, for your gracious and warm hospitality. Madame, thank you very much. Mr. President, thank you for coming back from Germany today, Laura and I are touched. This has been a spectacular trip. It's not over, because tomorrow we're going to tour more of your country.

Waliohudhuria mkutano ule wanasema aliposema, "thank you for coming back from Germany today" alimuelekea Rais wa Zanzibar, Amani Abeid Karume, ambaye alirejea kutoka Ujerumani ghafla. Na kwa neno "today" hapo Kikwete hayumo.

ANGALIZO

Hiyo ya Karume haiondoi uwezekano wa Kikwete kwenda Ujerumani kuangalia ndege...

Pia, kama kweli JK aliweza kutoroka na kurudi mara moja, basi nadhani ana jeuri na ujasiri mkubwa sana, lakini ujasiri na jeuri hiyo angeitumia mapema zaidi kumtimua Lowassa na si kumsubiri Mwakyembe na kundi lake.
 
Halisi nadhani hilo la pili lina maana zaidi... kwa sababu wazo la kuwa Rais anatimka kwenda Ujerumani na kurudi linatisha kweli. Tuliripoti kuwa Karume ndiyo alikuwa Ujerumani akimuwakilishwa Kikwete na kama alikuwa amerudi kwa ajili ya ujio huo basi inaleta mantiki zaidi. Inawezekana ndege ya JK ndiyo alienda nayo Karume na watu kudhania ni Kikwete?
 
Waliohudhuria mkutano ule wanasema aliposema, "thank you for coming back from Germany today" alimuelekea Rais wa Zanzibar, Amani Abeid Karume, ambaye alirejea kutoka Ujerumani ghafla. Na kwa neno "today" hapo Kikwete hayumo.

ANGALIZO

Hiyo ya Karume haiondoi uwezekano wa Kikwete kwenda Ujerumani kuangalia ndege...

Pia, kama kweli JK aliweza kutoroka na kurudi mara moja, basi nadhani ana jeuri na ujasiri mkubwa sana, lakini ujasiri na jeuri hiyo angeitumia mapema zaidi kumtimua Lowassa na si kumsubiri Mwakyembe na kundi lake.

Ukiangalia mtiririko wa conversation ni kuwa alikuwa anaongea na JK na siyo Karume. Ndiyo maana baada ya statement ya Bush, aliyejibu ni JK na si Karume.
 
Back
Top Bottom