Kikwete akubaliana na Mnyika kuondoa udhaifu, Kabaka na Werema watakiwa kutoa kauli bungeni

KUBADIRISHA PESA YA MTU IWE YAKO KWA HIARI YAKE, INAKUBIDI UFANYEKAZI KWA KUJITUMA UKITUMIA NGUVU WEWE NI SAWA NA JAMBAZI-DAWA YA JAMBAZI NI KUPAMBANA NAYE-UKIFA AU AKIFA YOTE NI SAWA!

HII SI KAWAIDA LAZIMA MALAIKA ATAKUWA AMEMSHUKIA VASCO KUMPA UJUMBE WA KUIEPUSHA NCHI KATIKA UMWAGAJI DAMU MKUBWA!

AMINI NAWAAMBIENI, TANZANIA TUNGEINGIA KWENYE HISTORIA NYINGINE KABISA-MTU KUFIA CHAKE SI HARAMU!

Vasco angeuthibitishia ulimwengu kuwa UTAJIRI WA RASILIMALI KWA MWAFRIKA NI MAAFA NA BALAA!
 
Kwakweli hii ni habari njema, hongera Mheshimiwa Rais laikni pia hongereni sana Mh. Mnyika na Mh.Jafo raia wa Nchi hii wanahitaji watetezi kama nyinyi munaoyaona matatizo yao, naamini wanawashukuru sana na zaidi wanawaombea mubarikiwe.......TANZANIA NA WATANZANIA MBELE VYAMA VITAFUATA BAADAE.
 
Jamani wenzetu ambao document zenu zilikuwa tayari zimeshaanza kufanyiwa kazi mzifuatilie na mje mtupe taarifa hapa, kama ni kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa tuamue vinginevyo mpaka kieleweke.
 
Nini 'deadline' ya hiyo kauli? Isije ikatolewa mwaka 2030 baada ya serikalli kurejesha madeni ya NSSF.

Kama ulichotaka kujua ni deadline, kulikuwa na umuhimu gani wa ku quote thread nzima?
 
OLE WAO...!!!BORA WAMEBADILISHA MSIMAMO,,,JASHO LANGU MIMI WEWE ULIPANGIE MATUMIZI ILI IWEJE
ETI HAD IFKE MIAKA 60 LIFE EXPECTANCY YENYEWE KIBONGO BONGO MWACHE MWACHE EBO...!!
NA NACHUKUA CHANGU KABISAAA MANA MSHANISTUSHA,SINA IMANI NA NYIE KABISA..
:smile: :smile:

Ha haha
 
ni kweli maana miaka ya nyuma fao la kujitoa lilikuwepo lakini watu walikuwa wana hiari ya kulichukua au kutokulichukua na wengi walikuwa wanajitahidi kuliacha mpaka wanapopata ajira nyingine lakini kwa mtaji huu kila ataeacha kazi anachukua chake na mwisho wa siku mifuko mifuko itafilisike.

umeongea hewa, ulisikia wapi mifuko ya jamii inafilisika? Unajua jinsi inavyofanya kazi?
 
Nashukuru mungu kama hi habari ni yakwel. Nilishazuiliwa fao langu baada ya kuacha kazi.
 
Waziri kabaka alibaka wafanyakazi wa migodini kwa kukaba, ila Mnyika ka Mnyuka Sodakta, Sasa hakuna kusubiri kauli ni kwenda kuchukua Mafao tu kwa kwendaa mbeleeeeeeee, Kabaka tumeku werema na mkaeeremewaaaaaa

chezea miner wewe! kama si pressure iliyotoka kwa wachimbaji serikali hii isingesikia HONGERA WACHIMBAJI WOTE..!
 
Hii habari njema hongera Mh Jakaya Kikwete umedhihirisha serikali yako ni sikivu..Big Up mnyika na jafo kwa kuisimamia serikali kutimiza majukumu yake!!
 
Kukubari kukosolewa ni kitendo cha kiungwana japo wengi wanadhani ni udhaifu, muungwana akiangukwa na taulo uchutama ukiendelea kusimama utaonekana wa ajabu sana. Ktk hili JK amejitahidi maana moto wake usingezimika hakuna anayeweza kukubali nguvu yake ikae sehemu asiyojua hitma yake.
 
Mkuu tena ondoa shaka hii ni kweli kabisa jamaa kakubali yaishe, mbele ya jembe Mnyika nani wa kubisha hoja zake? chezea wewe!!

Ni kweli, SSRA wameagizwa wafute tangazo lao magazetini halafu Werema au Kabaka watatoa kauli rasmi ya serikali bungeni. Watarejea hilo tangazo la SSRA na msingi wake na kuahidi marekebisho ya sheria yataletwa baadaye wakati huo yakisubiriwa wafanyakazi wataendelea kupokea mafao.

serayamajimbo
 
Wananchi kwa hili tumeweza kwa umoja wetu-Big up watu wangu tuendeleza mwenendo huu, no utani ktika mambo ya msingi.Mtu afanyie kazi pesa yake wewe umpangie aipate lini?
 
It is daylight clear kwamba AG Werema hayupo kwa ajili ya wananchi. Jamaa ni purely mganga njaa...yeye yuko busy kuwafurahisha CCM!! Kama kuna ndugu wa Werema wataisoma hii comment naomba wamwambie Werema hapendwi na wengi isipokuwa mafisadi tu!!! Kama unaafiki hili, gonga 'like'
 
umeongea hewa, ulisikia wapi mifuko ya jamii inafilisika? Unajua jinsi inavyofanya kazi?

Nielimishe mkuu namna inavyofanya kazi maana mie nimeangalia kwa angle mbili kujitoa kwa wanachama wengi pia namna mifuko inavyotumia fedha mfano kuikopesha serikali fedha kujenga infrastructure zisizo na tija hapa ndio pana shida mwisho wa siku mifuko inabaki na nini?. Serikali ikikopa taasisi zake kwa siasa za Tz ulipaji unakuwa mgumu, hiyo niliyochangia mie kuhusu kufilisika ni chombeza tu katika kuonyesha namna gani idadi ya wateja (client) itavyoshuka including mie tutakavyochangamkia fao la kujitoa kwa kuchukua chetu mapema once mikataba yetu itakapoisha japokuwa miaka ya nyuma ilikuwa wachache wanakimbilia fao la kujitoa kwa kuwa walikuwa wanaamini kwamba siku hali ikiwa tight ndio wanaenda kulichukua (mara nyingi baada ya miezi 6 au zaidi) lakini kwa sasa hivi wachache watakuwa wavumilivu kuziacha huko.

Si kufilisika kabisa but kushuka kwa kiwango cha wateja inayotokana na kujitoa kwani mifuko ya jamii ni kama vile bank zinavyofanya kazi (anapotoa hela huyu kuna mwingine anaingiza fedha hivyo inaendelea kuwepo)

Ila tusijihakikishie sana kwamba mifuko hii haiwezi kufilisika kwa kuwa sasa hivi si kama zamani kwamba NSSF ilikuwa kwa private comany / organisation, PPF for mashirika ya uma na mifuko mingine ilikuwa kwa wafanyakazi wa serikali za mitaa, kwa hiyo kila mfuko ulikuwa unapita kule ambako inapaswa kwenda na kufanya kazi kama sheria ya mifuko ya jamii inavyotaka lakini kwa hali ilivyo sasa mifuko ya jamii ipo mingi na yote imeruhusiwa kuchukua wateja wa aina tofautitofauti hasa kutoka private organisation hivyo kwa mtaji huu kuna uwezekano wa mfuko ambao utakuwa weak kwenye kutafuta wateja ukabaki hoi ukichanganya mifuko yenyewe inakopwa kujenga miundombinu mbalimbali ambayo inaingiza ela kwa muda mrefu.
 
Nashukuru mungu kama hi habari ni yakwel. Nilishazuiliwa fao langu baada ya kuacha kazi.

Fanya utaratibu wa kesho kwenda eneo la tukio kupata detail, tangazo hilo hapo chini;

ssra1.jpg
 
Back
Top Bottom