Kikwete akiwa Libya (Picha): Why... don't read..

Kauli kama hizo zinatolewa kwa kuwa wanaona watanzania si werevu wa kung'amua na kuchanganua mambo.

ni kweli kabisa KIkwete wetu amekimbia kelele zenu mara migomo, mara maandamano mara akihutubia mna cout vimaneno kama kile alichosema "tukawaambia mahakama wasimamishe mgomo" mara EPA mara best wake Lowasa kamnunia, mara akienda kwa Bush Mwalalamika sasa kaendaga LIBYA ahah tumsameheni jamani atarudi nyumbani ni sawa na baba mama akiwa na gubu anatafuta sababu za kutokuwepo nyumbani........................ila angalia baba wa jirani asije akakusaidia then ukaanza ohh ni mafisadi wameamua kuniangusha kwa sababu si kuwasamehe completely .....................
 
Nani kasema migomo inayoendelea inamhusu JK na Baraza lake la Mawaziri? Walimu waliogoma ni wa shule za serikali wakati watoto wao wote wanasoma shule za binafsi. vyuo vikuu vinafungwa lakini wao watoto wao wanasoma Ulaya na USA....Wastaafu wa EAC ndio kabisaa wala hawawahusu....!!!

TRL linayumba kwa mwekezaji feki, lakini wao hawapati adha ya usafiri huo wa reli ya kati kwa kuwa wanapanda ndege!

Hiyo migomo ni kwa JK na wenzake ni kama "a new breakfast cereal"!!!
 
Hawa waheshimiwa naamini masikio yao yahasikii na macho yao hayaoni kabisa .......! kama kelele wananchi wamepiga, kama migomo imefanywa, kama kukosoa wamekosoa etc kilichobaki ni kuwang'oa huko IKULU tu!
 
Mnataka muambiwe kiila kitu kuhusu ikulu yetu na Rais wetu. Wapi amekwenda, kaongea na nani, kaongea nini,....eeh! Ni NCHI gani hapa duniani inaendeshwa hivyo? Hata FAMILIA zetu hatuziendeshi hivyo!
 
Kuna rais mmoja hapa Bongo aliwahi kuomba lifti ya ndege ya rais wa Malawi ili awahi kurudi home baada ya kumalizika kwa kikao cha viongozi wa Africa, na tuliambiwa kuwa ndege yetu ilichelewa kufika ndo akaomba lifti. Naona hii ya Muungwana ni vice-versa !!

...ha ha :) ile ilipata ajali pale Malawi, ('labda' rubani alisahau kuweka 'hendi-breki'), ilisukumwa na upepo ikaenda paramia madubwana...! it was not safe to fly Salmin home.
 
Mnaohoji vitu vidogo vidogo kama hivi!!! lazima mnafikiri kijima pia... Kama mkuu wa nchi na maslahi ya Taifa...

Mfano....Hawezi kwenda kusema naenda kujadili namna gani tuwe marafiki wa china zaidi kuliko wa Marekani... kuna mambo sio ya kuropoka tu wakuu!!!

Kuna ajenda sio za public every now and then... Bado Tele na Video Conference hazijakuwa 100% substitute ya physical communication...

Jadili hoja... haya ya Safari zake kwamba hamyataki... yako wazi tujadili mengine
 
Mnaohoji vitu vidogo vidogo kama hivi!!! lazima mnafikiri kijima pia... Kama mkuu wa nchi na maslahi ya Taifa...

Mfano....Hawezi kwenda kusema naenda kujadili namna gani tuwe marafiki wa china zaidi kuliko wa Marekani... kuna mambo sio ya kuropoka tu wakuu!!!

Kuna ajenda sio za public every now and then... Bado Tele na Video Conference hazijakuwa 100% substitute ya physical communication...

Jadili hoja... haya ya Safari zake kwamba hamyataki... yako wazi tujadili mengine


unachosema ni kuwa Rais wetu amesema uongo, kuwa alichoenda kuzungumza sicho tulichoambiwa sisi raia! Hivi unafikiri yeye ni Rais wa nchi gani?
 
Back
Top Bottom