Kikwete akiwa Libya (Picha): Why... don't read..

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,474
39,987
kikwetelibya.jpg


Rais Kikwete ambaye sasa hivi yuko Ethiopia alichepukia Libya kwa ziara ya siku moja ya kikazi. Katika taarifa ya habari ya saa mbili TBC wametangaza sababu ya Rais kwenda Libya na kufanya mazungumzo na Ghadaffi (pichani) kwa mujibu wa Waziri wa Mambo ya Nje Bw. Bernard Membe:

"alienda kuzungumza na Ghaddafi, ili kujua ni jinsi gani Afrika ya Magharibi wamejiandaa kupokea wadhifa wa Uenyekiti wa AU hapo Februari mwakani wakati zamu ya Tanzania itakapofikia kikomo".

Hayo ndiyo maelezo pekee yaliyotolewa na kurusha na TBC. Nikakaa chini na kujiuliza "well najua tuna Gulfstream na anaweza akachepukia mahali pengine popote, lakini kwenda kuuliza swali yaweza kuwa sababu ya kutosha"? Nikaendelea kujiuliza "si angejaribu angalau angejalibu kuomba kitu kama ilivyokawaida?"

Yawezekana kuna sababu nyingine lakini hiyo ndiyo iliyotangazwa so msinijie juu bure!

lakini nikakumbuka kuwa yawezekana simu za Ikulu hazifanyi kazi au haziko secure enough; Na nilipokumbuka email nikagundua kuwa hata email yao haifanyi kazi hadi wanatumia ya yahoo.com na yawezekana hawakutaka kufanya hivyo maana Muammar angewadhania ni Wanigeria wanajarimu kumuingiza mjini.

Nikajisemea.. "it is good to be a President"..
 
What the he...?
Yaani kuna haja ya kujua jinsi walivyojiandaa kupokea uongozi wa AU? Yeye ni nani aliyemfungia safari kujua amejiandaaje? what the hell?
 
Kauli kama hizo zinatolewa kwa kuwa wanaona watanzania si werevu wa kung'amua na kuchanganua mambo.
 
Wao kuhandle uenyekiti wa AU sisi unatuhusu nini....Wananchi kiongozi wetu amekula miguu ya kuku.
Maana huwezi hata kusema kwamba kastop by, akiwa safarini kuelekea huko alikokuwa anaelekea; hiyo ni safari andaliwa kabisa.....
 
Nilishasema hapa hapa kuwa kwa jinsi u-rais wa Tanzania uliivyo rahisi basi mtanzania yeyote mwenye uwezo wa kupanda ndege na kukaa anaweza kuwa Rais wa Tanzania
 
Wakuu, kwa nia njema kabisa hivi ile hotrli maarufu ya regency huko kwa watani zetu iliuzwaje?

wetu mtiifu vipi umefikiria along those lines.....
 
Nilishasema hapa hapa kuwa kwa jinsi u-rais wa Tanzania uliivyo rahisi basi mtanzania yeyote mwenye uwezo wa kupanda ndege na kukaa anaweza kuwa Rais wa Tanzania
Mwamba,
Inatia aibu sana. Inatia aibu.
 
Wakuu, kwa nia njema kabisa hivi ile hotrli maarufu ya regency huko kwa watani zetu iliuzwaje?
wetu mtiifu vipi umefikiria along those lines.....

Oh no, I hope not but then why not - this is TZ where the unexpected happen !! Another hotelgate in the offing ? It definitely wont be a surprise but it's sure disgusting. We are digging ourselves into a hole so deep that we wont be able to get out if we wanted- God have mercy.
 
Mwacheni ajirushe jamani, the golden chance never come twice! Dubai hapiti this time?
 
Nadhani atakuwa ktk harakati za kubadili mazingira!Maana pale Magogoni pana kiharufu cha kutoka Fery and possibly akawa na alergy nacho!!But the worse is,he is doing dat at a tremendous cost.Hapa walipa kodi tunapata tafsiri ya "punda afe ila mzigo ufike".
 
Kuna rais mmoja hapa Bongo aliwahi kuomba lifti ya ndege ya rais wa Malawi ili awahi kurudi home baada ya kumalizika kwa kikao cha viongozi wa Africa, na tuliambiwa kuwa ndege yetu ilichelewa kufika ndo akaomba lifti. Naona hii ya Muungwana ni vice-versa !!
 
Kusema kweli I like appearance ya huyu Gaddafi.
He look too hooligan,
He put on sunglasses
Tizama alivyo kaa hapo,
Is like JK anatoa taarifa kwa bosi wake!!!
 
Kwa jinsi raisi wetu anavyopata raha, akisafiri kila anapojisikia huku akiwa hana hata chembe ya karaha wala kujisumbua kuwaza jinsi nchi yake inavyokumbwa na misukosuko ya migomo kila kona kwa sababu ya kushindwa kuiongoza vyema, nahisi ss tufnye uraisi ni mwaka mmoja ili kila mtanzania akalie kiti hicho na yeye ajifaidi, maana the rest kuhusu majukumu yake na wajibu hakuna la maana zaidi ya migomo na kutukera wananchi kwa kushindwa kututatulia matatizo yetu na kutuwekea mazingira mazuri ya kuondoa matatizo.


Ngoja na mimi 2010 nijaribu bahati yangu nigombee naye naweza nikashinda nami nianze kuitalii dunia.
 
Back
Top Bottom