Kikwete akataa tena IGP Mwema,Jack Zoka & wenzao kustaafu

bluecolour

JF-Expert Member
May 20, 2013
201
98
Kwa Mujibu Wa Habari Za Uhakika Zilizoripotiwa Kutoka Magogoni (state House) 'Big Boss' Kwa Mara Nyingine Amekataa Katakata Team Yake Ya Ulinzi Na Usalama Isi-staafu Na Ameagiza Wapewe Mikata Mipya Walau Hadi 2015 Baada Ya Uchaguzi Mkuu.. Wote Tunakumbu Igp Mwema, Kova, Mangu, Kanyala Ilikuwa Wastaafu June Mwaka Huu Lakn Kwa Sababu Zisizofahamika Walipewa Mikataba Ya Miezi Sita Hadi Dec 31 Mwaka Huu... Ajabu Watu Wakiwa Bado Wanaulizia Mikataba Hiyo Sasa Wameongezwa Mikataba Mipya Tena Mirefu Ya Hadi 2015..! Katika Kundi Hili Wako Akina Mwema, Zoka, Kova, Kanyala, Mangu Na Wengne Wengi... My Take Hivi 'Big Boss' Katika Idara Hizi Kawaona Hao Tuu...? Mbona Kuna Watumishi Wengi Wanaoweza Kuchukua Nafasi Zao Kuna Nini Mpaka Awang'ang'anie Hawa Watu....???
 
Rais amebakiza miaka miwili kama sio mmoja na ushee kustaafu...binafsi naona ni busara kubaki na safu yake till amalize muda wake ili kukwepa gharama mara mbili kwa maana say anamstaafisha IGP,atalazimika kumteua mwingine whom baada ya miaka miwili atabadilishwa tena ikiingia safu mpya ya uongozi!...
 
Anaogopa . . . . underperformer ndo walivyo. Si unakumbuka Mwinyi kipindi kile John Malecela alipomwambia anataka kujiuzuru akasema kama unajiuzuru na mimi najiuzuru. Lack of self confidence . . .
 
Rais amebakiza miaka miwili kama sio mmoja na ushee kustaafu...binafsi naona ni kubasa kubaki na safu yake till amalize muda wake ili kukwepa gharama mara mbili kwa maana say anamstaafisha IGP,atalazimika kumteua mwingine whom baada ya miaka miwili atabadilishwa tena ikiingia safu mpya ya uongozi!...

Huwa tunakwepa gharama ambazo hazitatokea tena, hapo ni kuwa anaahirisha hizo gharama na ndio tatizo lenu CCM
 
Tusimlaumu kwani kwa mujibu wa katiba mpya hao watu ni lazima waombe nafasi hizo na wathibitishwe na bunge so, hawatakuwa wateule wa rais tena. Nampongeza kwa busara hii but wasiendelee kuharibu zaidi ili tusishindwe kuwasamehee!
 
Kwa Mujibu Wa Habari Za Uhakika Zilizoripotiwa Kutoka Magogoni (state House) 'Big Boss' Kwa Mara Nyingine Amekataa Katakata Team Yake Ya Ulinzi Na Usalama Isi-staafu Na Ameagiza Wapewe Mikata Mipya Walau Hadi 2015 Baada Ya Uchaguzi Mkuu.. Wote Tunakumbu Igp Mwema, Kova, Mangu, Kanyala Ilikuwa Wastaafu June Mwaka Huu Lakn Kwa Sababu Zisizofahamika Walipewa Mikataba Ya Miezi Sita Hadi Dec 31 Mwaka Huu... Ajabu Watu Wakiwa Bado Wanaulizia Mikataba Hiyo Sasa Wameongezwa Mikataba Mipya Tena Mirefu Ya Hadi 2015..! Katika Kundi Hili Wako Akina Mwema, Zoka, Kova, Kanyala, Mangu Na Wengne Wengi... My Take Hivi 'Big Boss' Katika Idara Hizi Kawaona Hao Tuu...? Mbona Kuna Watumishi Wengi Wanaoweza Kuchukua Nafasi Zao Kuna Nini Mpaka Awang'ang'anie Hawa Watu....???
Anachofanya Rais ni sahihi kabisa. Ni combination ya busara na good practice. Kwa kila Rais Ni kazi nzito sana kuassemble Security and Defense Team na hata ukiangalia nchi nyingi duniani viongozi wa aina hii huanza na Rais na kumaliza kipindi ambacho Mheshimiwa anamaliza.
 
Yaone! yaani wengi waliochangia hii thread ni magamba,serikali iliyoshindwa,TISS kazi yao ni kuhakikisha wanasambaratisha upinzani,NCCR tayari,CUF tayari,sasa kwa nguvu zao zote wanailia denge CHADEMA,eti nchi ina usalama wa taifa,ridiculous! kuna watu wana serikali zao ndani ya nchi na hawaguswi,nenda kahama ktk kijiji cha ilogi km 75 kutoka kahama mjini, close to Bulyanhulu mine site,kuna mzee kule maarufu kwa jina la Ng'wanamiwa,anafanya biashara ya pesa kwa riba kubwa,hana leseni kutoka BOT,hailipi serikali kodi,ni mbabe,mtu akichukua pesa kwake akashindwa kurejesha kwa muda muafaka,anapandishiwa riba,laki 2 inakuwa laki 7,ndani ya miezi 3 au 4,anakusanya genge la vijana wanamvamia mdaiwa na kuchukua kila kitu nyumbani kwake,jamani kuna serikali hapo? kazi ya TISS ni nini? enzi za mwalimu hakukuwa na mtu wa kufanya hivyo,leo hii mtu yeyote mwenye vijisenti ni mbabe,Tanzania haivutii kuishi.
 
Kwa Mujibu Wa Habari Za Uhakika Zilizoripotiwa Kutoka Magogoni (state House) 'Big Boss' Kwa Mara Nyingine Amekataa Katakata Team Yake Ya Ulinzi Na Usalama Isi-staafu Na Ameagiza Wapewe Mikata Mipya Walau Hadi 2015 Baada Ya Uchaguzi Mkuu.. Wote Tunakumbu Igp Mwema, Kova, Mangu, Kanyala Ilikuwa Wastaafu June Mwaka Huu Lakn Kwa Sababu Zisizofahamika Walipewa Mikataba Ya Miezi Sita Hadi Dec 31 Mwaka Huu... Ajabu Watu Wakiwa Bado Wanaulizia Mikataba Hiyo Sasa Wameongezwa Mikataba Mipya Tena Mirefu Ya Hadi 2015..! Katika Kundi Hili Wako Akina Mwema, Zoka, Kova, Kanyala, Mangu Na Wengne Wengi... My Take Hivi 'Big Boss' Katika Idara Hizi Kawaona Hao Tuu...? Mbona Kuna Watumishi Wengi Wanaoweza Kuchukua Nafasi Zao Kuna Nini Mpaka Awang'ang'anie Hawa Watu....???


Ule ni usanii tu kwani anafanya vile kudanganya watanzana kuwa hawa watu wanajuwa kazi kumbe hakuna. Ki ukweli ni kwamba hawa watu ndiyo wanaolinda wauza unga wakubwa hapa nchini na hata yeye Kikwete anajuwa hivyo. Kule kuomba kutaafu ni propaganda tu au tuite danganya toto.
 
Rais amebakiza miaka miwili kama sio mmoja na ushee kustaafu...binafsi naona ni busara kubaki na safu yake till amalize muda wake ili kukwepa gharama mara mbili kwa maana say anamstaafisha IGP,atalazimika kumteua mwingine whom baada ya miaka miwili atabadilishwa tena ikiingia safu mpya ya uongozi!...
Lakini nadhani jambo hili linaonesha udhaifu mkubwa sana kwa maana kuwa Urais na hata vyombo vya usalama haviendeshiwi kitaasisi kama inavyotakikana. Urais ni taasisi na kwa kweli kama na hivi vyombo vyote vingekuwa vinaendeshwa kitaasisi (kwa maana yake hasa), hili unalosema lisingepaswa kuwa ni sababu. Umri wa mtu ni factual. Wakati wanateuliwa (supposedly) umri wao ulikuwa ukijulikana kwa mamlaka ya uteuzi.
 
Lakini nadhani jambo hili linaonesha udhaifu mkubwa sana kwa maana kuwa Urais na hata vyombo vya usalama haviendeshiwi kitaasisi kama inavyotakikana. Urais ni taasisi na kwa kweli kama na hivi vyombo vyote vingekuwa vinaendeshwa kitaasisi (kwa maana yake hasa), hili unalosema lisingepaswa kuwa ni sababu. Umri wa mtu ni factual. Wakati wanateuliwa (supposedly) umri wao ulikuwa ukijulikana kwa mamlaka ya uteuzi.

Kama vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vingekuwa vinaendeshwa kitaasisi ingekuwa story tofauti...mathalan mkuu wa TISS angetakiwa achaguliwe na mfumo ili awe huru kufanya kazi yake ya kushauri na kuangalia mienendo inayotia shaka ya taasisi nyingine bt look...atamsemaje bosi wake vibaya...
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Kwa Mujibu Wa Habari Za Uhakika Zilizoripotiwa Kutoka Magogoni (state House) 'Big Boss' Kwa Mara Nyingine Amekataa Katakata Team Yake Ya Ulinzi Na Usalama Isi-staafu Na Ameagiza Wapewe Mikata Mipya Walau Hadi 2015 Baada Ya Uchaguzi Mkuu.. Wote Tunakumbu Igp Mwema, Kova, Mangu, Kanyala Ilikuwa Wastaafu June Mwaka Huu Lakn Kwa Sababu Zisizofahamika Walipewa Mikataba Ya Miezi Sita Hadi Dec 31 Mwaka Huu... Ajabu Watu Wakiwa Bado Wanaulizia Mikataba Hiyo Sasa Wameongezwa Mikataba Mipya Tena Mirefu Ya Hadi 2015..! Katika Kundi Hili Wako Akina Mwema, Zoka, Kova, Kanyala, Mangu Na Wengne Wengi... My Take Hivi 'Big Boss' Katika Idara Hizi Kawaona Hao Tuu...? Mbona Kuna Watumishi Wengi Wanaoweza Kuchukua Nafasi Zao Kuna Nini Mpaka Awang'ang'anie Hawa Watu....???

Acha uroho wa madaraka ndugu yangu!
 
Kwa Mujibu Wa Habari Za Uhakika Zilizoripotiwa Kutoka Magogoni (state House) 'Big Boss' Kwa Mara Nyingine Amekataa Katakata Team Yake Ya Ulinzi Na Usalama Isi-staafu Na Ameagiza Wapewe Mikata Mipya Walau Hadi 2015 Baada Ya Uchaguzi Mkuu.. Wote Tunakumbu Igp Mwema, Kova, Mangu, Kanyala Ilikuwa Wastaafu June Mwaka Huu Lakn Kwa Sababu Zisizofahamika Walipewa Mikataba Ya Miezi Sita Hadi Dec 31 Mwaka Huu... Ajabu Watu Wakiwa Bado Wanaulizia Mikataba Hiyo Sasa Wameongezwa Mikataba Mipya Tena Mirefu Ya Hadi 2015..! Katika Kundi Hili Wako Akina Mwema, Zoka, Kova, Kanyala, Mangu Na Wengne Wengi... My Take Hivi 'Big Boss' Katika Idara Hizi Kawaona Hao Tuu...? Mbona Kuna Watumishi Wengi Wanaoweza Kuchukua Nafasi Zao Kuna Nini Mpaka Awang'ang'anie Hawa Watu....???

Kama habari hii ni kweli, mkuu atakuwa anafanya mzaha katika jambo nyeti.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom