Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,886
- 6,883
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na kiongozi wa Serikali ya Mpito ya Libya,
Mustafa Abdel-Jalil , jijini New York, Marekani,
ambako wote wanahudhuria mkutano wa 66 wa Umoja wa Mataifa.
Wiki chache zilizopita serikali ya Tanzania kupitia waziri wa mambo ya nchi za nje Membe ilisema haitambui serikali ya mpito ya Libya na kumshinikiza balozi wa Libya nchini kutoendelea na zoezi la kuipeperusha bendera ya serikali mpya mlingotini, bali bendera la Gadafi ndiyo inayotambuliwa,
Je, serikali yetu itarudishaje kauli yake ya kutoitambua serikali mpya ya Libya wakati kiongozi wake kapokelewa umoja wa mataifa?